DiraElimu
Ni mwangaza wa maisha yako
(Hamishia kwenye ...)
Nyumbani
▼
Jumapili, 26 Aprili 2026
Walinisukuma sana ili nianguke!
›
Zaburi 118:10-14. “ Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali. Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la B...
Jumapili, 19 Aprili 2026
Kuzungukwa na mabaya yasiyohesabika!
›
Zaburi 40:11-13 “ Nawe, Bwana, usinizuilie rehema zako, Fadhili zako na kweli yako na zinihifadhi daima. Kwa maana mabaya yasiyohesabika Y...
Jumapili, 12 Aprili 2026
Kuyachuchumilia yaliyo mbele!
›
Wafilipi 3:12-14 “ Si kwamba nimekwisha kufika, au nimekwisha kuwa mkamilifu; la! Bali nakaza mwendo ili nipate kulishika lile ambalo kw...
Jumapili, 5 Aprili 2026
Kupandishwa toka shimo la uharibifu!
›
Zaburi 40:1-3 “ Nalimngoja Bwana kwa saburi, Akaniinamia akakisikia kilio changu. Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa ut...
Ijumaa, 3 Aprili 2026
Hana umbo wala uzuri hata tumtamani!
›
Isaya 53:2-5 “ Maana alikua mbele zake kama mche mwororo, Na kama mzizi katika nchi kavu; Yeye hana umbo wala uzuri; Na tumwonapo hana u...
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti