Jumatano, 5 Novemba 2014

Nikajifunika Kusubiri Uroda!

Septemba 2003 nilikwenda kumsalimia mjomba wangu mjini Dodoma, Hii ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kufika Dodoma, Wakati huu nilikuwa nimemaliza kidato cha sita na nilikuwa nasubiri matokeo hali ya hewa ya Dodoma wakati huo ni mchanganyiko joto wakati wa mchana na Baridi kali wakati wa usiku.


Huyu mjomba wangu alikuwa mtu wa kinywaji sana na wanawake kwa sana, Lakini kwa sababu alikuwa anatengeneza hela za kutosha sisi wapwa wake tulimpenda sana tu,kwani haja yetu kubwa ahikuwa umjomba bali mshiko kutoka kwake, Nakumbuka nilipofika pale kwake mkewe yaani shangazi yangu alikuwa amesafiri kwenda  kwenye msiba kwao Tabora, Hapo nyumbani kwa hali hiyo alikuwepo mjomba na wanawe wane wa kike, hawa watoto wa mjomba walikuwa wakubwa  mmoja alikuwa kidato cha tano, wa pili cha nne, watatu kidato cha kwanza na wanne  darasa la sita.


Kama unavyojua watoto wa kike wanajisikia vizuri kuwa na kaka kwa hivyo nilipofika pale binamu zangu walifurahi sana na wakawa wanapenda sana kunipa good time. Nilikuwa naelewana sana nayule wa kidato cha nne kuliko wale wengine, kumbe huyu binamu nwangu alikuwa na buzi lake, ambalo lilikuwa linamsumbua sana, na mjomba na shangazi walisha litangazia hali ya hatari hilo libuzi lake, sikuwa najua jambo lile na hakuna ambaye angenijulisha kwani hakuna ahatujawahi hata mara moja kuzungumzia  maswala ya mapenzi.


Basi nakumbuka siku hiyo niko nyumbani jioni, nikamwona huyo mwizi akiingia chumbani mwa Yule binamu yangu mpendwa, alikaa huko kwa muda kabla hajatoka. Alipotoka name nikajitoma ndani nikakuta binamu yangu anavaa, kwa sababu ya balehe labda nilimwambia binamu yangu kama unataka nisiseme na mimi naomba maana nimeona kila kitu, Binamu yangu Yule aliniomba sana nisifanya hivyo, Tunasoma wote wala hatukuwa tunafanya jambo baya alisema kwa kujitetea, Niliomwambia unataka hutaki ni lazima nami nionje au niseme kwa mjomba. Baada ya kuona kuwa nimepenia sana, Yule binamu yangu alikubali, Nilikata kiu yangu kibabe na kuvinjari vilivyo siku ile.

Kumbe jambo lile lilimuuma sana kupindukia, ingawa hakuonyesha hivyo, siku ya tatu tangu tukio lile Yule binamu yangu alinifuata akiniomba tufanye naye tena jambo lile, Nilifurahi sana , huyu binamu yangu alikuwa akilala peke yake kwa sababu ya kusoma  kujiandaa kwaajili ya mitihani ya mwisho, hivyo aliniambia saa sita hivi wengine wakiwa wamelala niende chumbani mwake nilifurahi sana na kujisifu.


Basi usiku wa saa sita nikiwa nimetinga chumbani mwake tukiwa tunazungumza maswala ya mahaba, mara btulisikia gari Mjomba alukuwa amerudi, baada ya kusikia mlio huo wa gari  Yule binamu yangu aliniambia nimsubiri anakwenda kuzuga ili baba yake asijue kinachoendelea, aliniambia nizime taa nilale kwa kujifunika Nilifanya hivyo haraka haraka, Nilitulia hapo kitandani moyo ukinidunda, halafu nilisikia mlango ikifunguliwa na taa ikiwashwa, kabla sijajifunua kuangalia kinachoendelea nilishtukia kitu kikali kikinicharaza matakoni niliruka na kupiga yowe. Mijeledi ilizidi kuniangukia kama nilikuwa punda


Ghafla mpigaji alisita na kuniambia yaani wewe nakuchukulia kama mwanangu kumbe umekuja kuniharibia watoto nyama wee, mjomba akiwa na zinga la bakora alisema wewe unathubutu kuingia katika chumba na kuthubutu kumbaka dada yako nyama wee aliniongeza mijeledi kadhaa pale, Kisha aliniamuru kuvaa na kwenda chumbani kwangu kuchukua kila kilicho changu, Nakupeleka hotelini utalala huko na kesho urudi kwa mama yako, ibilisi wee, nilijaribu kujitetea kwamba tulipanga na mwanae tukutane lakini hakunielewa Yaani mpange halafu aje aniambie yeye ana kichaa?unadhani wanangu ni Malaya kama wewe?...


Ilibidi wale binamu zangu wengine waingilie kati kunitetea na kutetea kwao kulileta matunda ya kuhurumiwa  nilale hadi asubuhi ,ambapo niliambiwa utawahi basi la kwanza kurudi Dar kwa kweli niliaibika kwa kiasi cha kushindwa kuelezea, Hadi leo sijaweza kwenda kwa mjomba, ingawa ameomba sana niende kuwasalimia  lakini aibu niliyo nayo ni kubwa lakini bila shaka baada ya kuelezea kisa hiki huenda mjomba na watoto wake wengine watajua  ukweli ni kwamba Yule binamu yangu  alifanya vile ili kunikomoa  nami naona ni sawa tu kwani sikuwa nimemtendea haki. Kumbe alimjulisha baba yake tangu mchana kwamba nimekuwa nikimtongoza na wakakubaliana kuwa wanikomeshe.

Na. Rev. Innocent Kamote
Mkuu wa wajenzi mwenye hekima
0718990796
0784394550
e-mail ikamote@yahoo.com

Hakuna maoni: