Jumatatu, 30 Machi 2015

Somo: Ifahamu Free Mason!

UTANGULIZI.
Freemason au freemasonry  ni moja ya taasisi kubwa sana ambayo imeenea ulimwenguni na inakua kwa kasi sana, Mason kwa asili walikuwa ni mafundi waliokuwa wakijihusisha na kazi za uchongaji wa mawe na hatimaye ujenzi wa majengo makubwa ya makanisa yaani Cathedrals  jina mason  lina maana ya mafundi ujenzi au waashi na freemason maana yake ni “Wajenzi huria” wengi wa wajenzi hao walikuwa Wakatoliki na walianzia mnamo katika karne ya 17, mpaka wakati wa mabadiliko makubwa ya kimapinduzi huko Uingereza Mason walijulikana kama watu matajiri na wenye uwezo wa hali ya juu na hivyo wakajulikana kama watu wenye mawazo ya juu na wenye uwezo wa kuhakikisha kuwa kuna usawa, amani na kutatua matatizo na maswala yaliyoleta utata katika jamii, mikutano yao ilikuwa ya kijamii kuliko ya kibiashara na kwa mara zaidi ya nne walikutana na walijulikana kama Kusanyiko la wajenzi, waliungana tarehe 24 june 1717 na kuunda chama chenye kuheshimika sana cha wajenzi katika jiji la London na Westminster ambapo baada ya miaka sita wakawa chama chenye kuheshimika sana nchini Uingereza na baraza hili ndio chimbuko la Freemasons ulimwenguni, chama hicho kilichoheshimika cha ulimwengu mzima kiliundwa katika mji wa York mwaka 1725 na baadaye  katika kisiwa cha Ireland ndani ya miezi sita na huko Scotland ndani ya 1736 baraza la York lilitambuliwa kisheria kama chama chenye kuheshimika na maarufu katika Karne hiyo. 
Kutokana na mpangilio na utaratibu wa wanachama na hekima yao na kuinuka kwao huko uingereza watu hao walionekana kama wa daraja la juu na watu waliofanikiwa sana na kujipatia umaarufu mkubwa na hivyo watu wengi maarufu na wa Nyanja ya juu katika uingereza walijiunga na mason wakazidi kuwa maarufu, swala la dini lilikuwa swala la msingi na la usawa kwa watu wote ili kuendelea kukuza uhuru wa maswala ya kiroho mpaka mnamo karne ya 18 katika jumuiya zote za wanaozungumza kiingereza swala la dini liliachiwa kwa mtu binafsi, Upinzani mkubwa hata hivyo wa chini kwa chini wa freemason ulikuwa dhidi ya Kanisa Katoliki pamoja na kanuni zake na asili ya dini jambo lililodhoofisha utendaji na maendeleo ya kikanisa na swala hili lilipelekea Freemason kutokuruhusiwa kabisa katika inchi zenye ukatoliki mwingi ikiwamo Huispania, ingawa huko Ufaransa kutokana na imani ya Atheist na Uprotestant na mapinduzi ya kifaransa utaratibu huu ulistawi.
Leo hii Freemason wanajitokeza duniani katika sura tofauti tofauti wakiwa na wanachama wapatao milioni 150,000 chini ya uongozi wa Grand Lodge of Scotland na Grand Lodge of Ireland zaidi ya robo yao wanaongozwa na United Grand Lodge of England na zaidi ya milioni mbili chini ya Marekani yaani United States of America. Maswala ya maongozi wakati mwingine hutolewa kulingana na kila jumuiya inavyoona kulingana na taratibu zao, ingawa vyama hivyo vinatambuana lakini kila jumuiya ina aina zake za maongozi na zinawajibika katika tawi kuu husika la freemason
Freemason hata hivyo wana madai ya kuweko ulimwenguni siku nyingi kihistoria kwani wao hudai wazi kuwa walihusika kulijenga hekalu la mfalme Sulemani huko Israel itakumbukwa kuwa hekalu hilo lilijengwa bila ya mlio wa nyundo kusikika wao walichonga mawe na kisha mawe hayo yalipachikwa na kujenga Hekalu, jamii hii pia inahusika na ujenzi wa miji mingi mikubwa na majengo makubwa kama kumbi za Bunge na Minara katika miji  na ubunifu wa maswala mengineyo freemason kusudi lao kuu ni kuuendesha ulimwengu katika njia mpya “New World system”  ambapo ulimwengu utaendeshwa kidemokrasia na maswala ya haki za binadamu kuzingatiwa na uhuru wa binadamu kuheshimiwa bila kusumbuliwa au kuingiliwa hii ndio taratibu mpya itakayoongoza ulimwengu katika mpango wa chama hiki cha siri chenye utata mkubwa duniani Fuatana nami basi tunapoendelea kuichambua freemason.

                                                                Grand Lodge of England

Historia ya Freemason
 Goose na Gridiron, mahali ambapo Grand Lodge of England yaani chama cha freemason kilipoanzia huko Uingereza
Kwa asili freemason  waliendelea kutokana na baadhi ya mijadala iliyotokana na mtunzi wa mashairi aliyejulikana kama “Regius Manuscript" zamani sana inakisiwa kuwa ni karibu na 1390 na maandiko ya mwanashairi huyo yalijulikana kama maandiko ya zamani zaidi katika chama cha Freemason lakini kuundwa rasmi kwa chama cha freemason kulikuja kuwa wazi kabisa mnamo karne ya 17, lakini chama kiliundwa rasmi tarehe 24 june 1717 huko London Uingereza, mkutano huo wa kwanza wa freemason ulijulikana kama Grand Lodge of England (GLE) na baadaye walikuwa wakikutana mara kwa mara  hususani nyakati za chakula cha jioni, Baada ya kuwa na umaarufu mkubwa wengi wa waingereza walijiunga ingawa wengine walijaribu kuweka maswala yao kisasa zaidi na kupeana vyeti kama shahada ya tatu 3rd Degree yaani Phd na pia waliunda vyama vingine, mpaka tarehe 17 july 1751 walijiita Antient Grand Lodge of England  GLE antient maana yake akizamani na mnamo mwaka 25November 1813 kwa pamoja waliunda muungano wa vyama vya freemason kilichoitwa United Grand Lodge of England UGLE
Chama hiki pia kilisambazwa katika makoloni ya mwingereza mfano kaskazini mwa Amerika mnamo mwaka 1730- na kuendelea na kutoka akizamani mpaka akisasa. Ambapo huko Amerika baada ya mapinduzi ya  American Revolution waliunda mfumo wao ndani ya kila jimbo wakifikiri kuwa labda baadae wataunda mfumo wao Grand Lodge of the United states  chini ya George Washington ambaye alikuwa ni mwanachama wa chama hicho huko Virginia na kama Kiongozi wa kwanza First Grand Master lakini wazo hilo lilidumu kwa muda mfupi tu  kwani wengi hawakutaka kuvunjavunja mamlaka na kukubaliana kuwa na mamlaka moja. Ingawa kuna tofauti za makusudi na alama tangu zamani hata sasa kwa wana freemason na tofauti hizo zinaweza kuonekana kupitia majina mfano being free and Accepted Mason   F& A, M. na Antient Free and Accepted Masons.
Kumbuka kuwa msingi mkuu wa Freemason ni Uhuru, na falsafa zenye kuhusika na matatizo ya kijamii bila kujali njia gani inatumika kwa namna yoyote ile na kwa njia yoyote ile kama unaweza kuwa msaada kwa wanadamu utatakiwa kutoa falsafa zenye kulenga kutatua matatizo ya aina binadamu, mtu yeyote mwenye wazo la kutaka kuisaidia jamii, kimaombezi, kidini, kiganga na namna nyingine zozote kwa wana mason ni mtu mwenye chembechembe za falsafa za kifreemason, alama ya uungu ya freemason ni Bikari au Kampasi na mjenzi ni jiwe au alama ya rula ya mraba square.
  Alama ya square na Cumpus alama kuu za Freemason 


 Moja ya ukumbi wa mikutano ya Freemason huko Uingereza uitwao Bury St Edmunds, Suffolk, England  ambao ulitumika miaka ya mapema ya karne ya 20
Freemason ina mafundisho na matendo au vitendo vyenye mlengo wa kuwa huru na wenye kukubalika na ni jumuia kubwa sana ulimwenguni imeenea kuanzia huko Uingereza na nimaarufu sana huko katika kisiwa cha Isles na sehemu nyingine za inchi hiyo, Ni kundi la mafundi waashi waliojihusisha na uchongaji mawe na uundaji wa majengo makubwa ulimwenguni au Cathedrals tangia enzi ya miaka ya kati. Baada ya kushuka au kuanguka kwa kasi ya uundaji wa makathedro hayo baadhi ya vyama vyao vya kiufundi vilianza kupoteza umaarufu na hivyo walianza kuunda vyama vikubwa zaidi ili kutunza heshima yao na kujaribu kuzuia hali yao ya kuporomoka na mnamo kati ya karne ya 17 na 18 walianza kufuata misingi ya dini za kizamani za kiasili ya kuunda undugu na ndipo mwaka 1717 walipoanza kuwa na umaarufu mkubwa walipounda umoja wao huko uingereza.
Freemason pia walifikiriwa kuwa na upinzani mkubwa na kanisa la Roman Catholic kwa vile walivyokuwa wakiwatumia awali na baadaye kuonekana kama wamefarakana na Pope na hivyo kufikiriwa kuwa ni wapinzani wakubwa wa kanisa hilo na ingawa inaeleweka hivyo lakini ni wazi kuwa Freemason sio wakristo wala sio taasisi ya kikristo ingawa wana kila kiashiria kuwa ni dini yenye mafundisho na utaratibu na maadili, wana ukarimu na ni watii katika maswala ya sheria za nchi na ili kujiunga unapaswa kuwa mwanaume mtu mzima anayeamini kuweko kwa Mungu na kuwa nafsi inaishi milele. Katika vyama vyao hata hivyo wengine wameshutumiwa kuwa na mitazamo hasi kwa Wayahudi, Wakatoliki na watu weusi, kwa ujumla freemason katika inchi za kilatini wanachukuliwa kama watu wenye kufikiri kwa uhuru au wapinga taratibu za kidini au wanachama wa vyama vya kidini vilivyopingana na ukatoliki au wanaotokea katika uprotestant ingawa wenyewe sio waprotetant kidini ila ni waprotestant kwa kufarakana na ukatoliki.
Katika vyama vingi vya freemason duniani wanagawanyika katika makundi makubwa matatu wanafunzi ambao huitwa apprentice na fellow of the craft yaani wataalamu waliofunzwa na Mastermason yaani watawala au mabwana au viongozi. Katika vyama vingine wanakuwa wengi zaidi na wana madaraja mengi tofauti na wakati mwingine mfumo wake haufanani kati ya taifa na taifa katika mifumo mingine ya freemason kuna degree karibu ya 33
Kwa huko Marekani wanawake wa wakubwa yaani masters of manson na ndugu zao huruhusiwa kujiunga na freemason katika utaratibu wa kimashariki lakini haitazamiwi sana kwa mwanamke wa kawaida tu kukubalika kuwa mwanachama wa freemason isipokuwa wanawake wa wakubwa na maarufu wenye uwezo mkubwa sana



Sheria.

Sheria za Freemason ni muuundo uliotolewa na Grand Lodges ya Uingereza ambao wanatoa utambulisho kwa matawi mengine ya freemason Duniani, Utambulisho huo unaruhusu muingiliano na viwango vinavyokubaliana na  Grand Lodge walioko Uingereza, hata hivyo endapo mwanachama atatembelea mara kwa mara au hovyo hovyo makao makuu anaweza kusimamishwa uanachama au  kutengwa, kwa msingi huo makao makuu hutunza kumbukumbu za wanachama na matawi na makao makuu hayo hufuatilia kama wanachama wamekidhi viwango vinavyohitajika  na kisha kuwaruhusu kuwa wanachama,  na kuwapa mashariti husika na kanuni zijulikanazo kama  utambuzi maalumu wa eneo husika la kifreemason Landmarks na kisha kukabidhiwa katiba na kutambuliwa kama marafiki na kustawisha uhusiano endelevu lakini kila tawi hujitawala  na hivyo kuona kuwa kuna namna tofauti tofauti za kiushirika kati ya tawi na tawi au wanachama na wanachama.
Kila tawi la Freemason linapaswa kuwa na ukumbi wake unaotambulika na unaopaswa wanachama kukutana mara kwa mara, kila tawi lina uhuru wake na kuna maswala yanayotofautiana kati ya tawi na tawi kulingana na ni aina gani ya Freemason wana uhusiano nao na wako freemason ambao wanaweza kujiunganisha katika tawi Fulani lakini wakawa hawatambuliki na makao makuu au makazi makuu katika mji wao. Kwa msingi huo basi ni muhimu kufahamu kuwa freemason wana vikundi vingi na vyenye miundo tofauti tofauti kati ya taifa na taifa lakini kama waliomba kutambuliwa hutambuliwa huko makao makuu lakini wakiwa huru kuendesha maswala yao huku wakiwa na sheria na katiba ya makao makuu.

Makao makuu ya Freemason
Mara nyingi makao makuu ya freemason katika maeneo mbalimbali huwa ni ya siri na msingi mkubwa ni ushirika unaounganisha freemason na kila makao makuu yana uhakika  au utambuzi unaowatambulisha  huko makao makuu ya freemason Uingereza, wanachama wanatakiwa kuwa na mamlaka ya kukutana na kufanya kazi, wakitarajiwa kwa muda mchache kukumbushana wajibu wao, kubadilishana mawazo na wakati mwingine kutafuta namna ya kusaidia watu kama wafungwa  wa kivita na kadhalika na pia wanakuwa na muda wa kuwakumbuka kwa kuwasha mishumaa hata hivyo utaratibu huo hauna kanuni maalumu
Kila mara wanachama wanatakiwa kukutana mahali maalumu kwa tarehe zilizopagwa, na wanachagua kutambua na kuwapandisha vyeo maafisa wao, wanajenga na kuangalia miradi yao inavyokwenda mali zao na mitaji na huweka kumbukumbu ya maswala yote yanayozungumzwa, na mipango itakayofanyika  wapi itafanyika  na vipaumbele. Kama shirika wana shughuli zao na mikutano yao na hupeana taarifa kila wanapokutana katika mikutano hiyo, pia Freemason wanafanya kazi ya kusaidia jamii kwa mifuko yao maalumu ya kikarimu, wanajadili jamii zao, maaajenti wao, uanachama na urejeshaji wa kodi, matukio maalumu na mengineyo na mipango hiyo ni huria kwa kila chama au tawi kulingana na katiba ya mahali pamoja inayo waongoza na kila chama kinaleta maswala yao ya jadi ya aina tofauti tofauti.

Mwanachama atajiunga na kuwa mason katika tawi ambalo ataendelea kuweko siku zote za maisha yake kwa kawaida ukijiunga na freemason huwezi kutoka milele “ Once a Freemason Forever Freemason wakubwa wa Freemason waitwao Master Mason wanaweza kutembelea mkutano wowote unaokutana chini ya taratibu zozote kwa sababu ya urafiki ulioko kati yao na tawi alilolitembelea na hukaribishwa  kwa ukarimu, na ataangalia taratibu na kanuni za tawi hilo na kama akiridhishwa nazo, na endapo ataonyeshwa kutokuridhishwa nazo atakataliwa  na anaweza kusababisha kutoweka kwa amani kati yao na kama atapenda kutembelea tawi hilo mara kwa mara atatakiwa  kujiunga na  kulipia ada ya uanachama kwa kipindi husika
  


Nembo hii kulia ni kumbukumbu maalumu ya wanachama wa freemason wa jeshi la Kifalme la wana maji Australia Royal Australian Navy  ambalo kwa asili linahusika na mafunzo, hii ndio nembo ya jeshi la wanamaji na wanaoendesha meli ambao walikuwa wakifanya mikutano yao  Huko Gundagai United, No.25. Alama ya square na Bikari au kampasi ni moja ya alama muhimu za Mason tutazungumzia alama hizo kwa kina mbeleni mwa somo hili.
Wengi wa wanachama wa Freemason  wanaishi au kufanya kazi katika mji husika jirani na  mahali wanapokutania, wengi wakiwa na maswala yenye kufanana wanayopendelea mfano, vyeo , Biashara, shule, vyuo, Jeshi, au wenye degree za Freemason au wenye pendeleo zinazofanana , tabia ambazo zimekubalika na makao makuu husika  sio lazima sana kutumia jina lile la zamani la Freemason  lakini kama inawapendeza mnaweza  wao pia huweza kutumia majina mengine kama Ndugu, Jamaa, na sehemu nyingine inabakia kuwa  na jina husika.
Freemason pia wana maeneo maalumu kwaajili ya kufanya utafiti kama kujisomea historia mbalimbali au Falsafa na maswala mengineyo maeneo haya mara nyingi yanayohusika na utafiti ni maeneo nyeti kwao na yenye usalama kwao na ni vigumu sana kwa mwanachama mpya kufika huko mahali huko pia hujifunza kufanya mazoezi yao na kuwa na ustadi mkubwa wa kitabia ambazo hazibadiliki na ni vigumu wengine kujua huko hujifunza tabia na mwenendo ambao hukutambulisha kama freemason na ni ngumu kwa mtu wa kawaida kutambua ukakamavu huo unaofanana na wa kijeshi lakini wao hutambua


Freemason kwa usahii hukusanyika kama Chama katika makazi maalumu, na wanapo zungumzia makao makuu humaanisha zaidi ya jengo au mahali, wao humaanisha watu wanapokutana ingawa majengo yao wanayokutania pia huitwa makao makuu na wakati mwingine majengo hayo pia hujulikana kama mahekalu ya falsafa na usanii na katika inchi nyingi majengo ya freemason huwakilisha mahekalu yao ili kukwepa kushukiwa vibaya na wakati mwingine huweza kutumia mifumo tofauti tofauti ili kukwepa kusumbuliwa
Kwa mujibu wa simulizi za kale za Freemason huko Ulaya kwenye miaka ya kati mafundi mason waliokuwa wakijishughulisha na uchongaji mawe walikutana na kula na wakati mwingine kulala nje ya saa za kazi katika majengo yao upande wa kusini wa jengo ambako jua huwa linazama  baada ya kupasha moto mawe wakati wa mchana, walikuwa na bodi ya sikukuu, kama sehemu ya mikutano yao wakati wa jioni bodi hiyo wakati mwingine iliitwa Kusini, na zamani sana mikutano yao ilikuwa ikifanyika katika maficho au vyumba vya siri kumbuka kuwa freemason ni vyama vya siri vinavyofanya kazi zao kwa usiri

Maafisa wa Freemason.
Kila tawi la Freemason linachagua kiongozi au maafisa maalumu kwaajili ya kushughulikia maswala maalumu ya makazi yao, na siku zote afisa wa muhimu zaidi ni kiongozi wa jumuiya anayeitwa The Worshipful Master ambaye siku zote huteuliwa na pia huchaguliwa makamu wa raisi wa freemason na katibu na muweka hazina na kila ukumbi huwa na mlinzi anayesimama na kulinda mlango wa ukumbi wa freemason wakati wanachama wakiwa mkutanoni. Na kwa ujumla wanakuwa na mashemasi, kiongozi wa ukumbi wa ibada Chaplain ambaye huusika kuongoza Maombi katika mikutano na katika maeneo mengine na maofisa na watendaji wengine wanathamani kutokana na wayafanyayo na maeneo mengine nyadhifa hizo hutofautiana

Ukumbi wa kifalme wa Freemason
Ukumbi wa kifalme wa Freemason unatupatia historia ya Marekani iliyopelekea kugawanyika kwa kambi ya zamani ya waamerika weusi wa freemason na waamerika walioko sasa huko kaskazini ya Amerika
Mwaka 1775 Mwafrika mmoja aliyejulikana kama Prince Hall aliteuliwa na Utawala wa freemason wa kiingereza kuongoza kambi ya freemason Huko Boston na baadaye Massachusetts pamoja na waafrika kadhaa 14, kwa ujumla watu hao kumi na tano ambao walikuwa wamarekani weusi wao walikuwa wazaliwa huru yaani sio waliotokana na asili ya utumwa, kambi ya freemason ya Kaskazini mwa Amerika  ilitakiwa kuwatambua watu hao kama watu waliopewa mamlaka na walikuwa na uwezo wa kukutana, waliadhimisha sikukuu ya Mtakatifu Yohana Mbatizaji  na pia kuendesha mazishi ya wanachama wa Freemason lakini hawakuruhusiwa kutoa degree au kufanya kazi zingine za kimason, Mwaka 1784 watu binafsi waliruhusiwa kuomba na kujiunga na walifaya hivyo kwa ruhusa kutoka chama cha mason huko uingereza, na hivyo kuunda tawi lao lililopewa namba 459, na ilipoundwa freemason huko uingereza mwaka 1813 mamlaka yote ya kifreemason huko Marekani walipewa wao na mwaka 1812 kulitokea mgawanyiko na tawi hilo likawa huru kwa Amerika na Afrika ikawa na tawi lake lakini tawi lile la Amerika likajipa kama namba moja na tangu wakati huo Ukumbi wa kifalme wa Prince hall wa kifreemason ukawa ndio tawi kuu au makao makuu ya freemason huko Marekani
Kutokana na ubaguzi mkubwa  wa rangi uliokumba Marekani mnamo karne ya kumi na nane na kumi na tisa Amerika ya kaskazini ilifanya kazi ngumu kuwapata Waafrika kujiunga na utaratibu wao wa kifreemason na ilikuwa ni vigumu kwenda sambamba na wanamason wa kiamerika.
Ukumbi wa kifalme wa mason ulikuwa wakati wote ni wenye kuheshimika hata pamoja na kuweko kwa migawanyiko iliyokuweko na heshima hiyo imeendelea kubaki kwa miaka yote hata miaka ya hivi karibuni na mpaka sasa ukumbi huo Prince Hall unatambuliwa na UGLE lakini unafanya kazi katika namna inayojitegemea kabisa na baadhi ya degree za utambuzi hutolewa na ukumbi huu kuna ongezeko kubwa na wanachama wa kada mbalimbali wanaostahili kuwa wanachama na wanaojiunga kila siku.
Shahada na utaratibu na muundo wa freemason.
Shahada ya juu kabisa katika freemason ni kuwa Master Mason ambayo kwa kawaida ni digrii ya tatu ingawa kuna jumuiya nyingine za kifreemason ambazo kuwa Master Mason kwao ni kama ngazi ya kawaida ya mwanachama aliyekomaa inayohitajika lakini hawana mamlaka ya kufanya mambo, viwango hivyo vya shahada ni kama nyongeza ya heshima ya ziada kwa wanachama na zinatolewa kwa kusudi la kutoa mtazamo kutukuza, maadili na falsafa za uhodari wa kifreemason, Heshima hizo zinatolewa kwa mitazamo tofauti wa kimaongozi mbali na utendaji wa makao yao makuu na kwa mitindo tofauti tofauti, kwa kuwa kila mmoja anapaswa kuwa mwanachama wa kimason basi mahusiano yao yanaruhusu kuweko kwa digrii hizo kwa matawi tofauti tofauti kulingana na uhusiano wa kisheria wa muungano wa vyama hivyo uliopitishwa na UGLE mwaka 1813 ambao unatambua kuweko kwa shahada tofauti tofauti kama Royal Arch au Chilvaric degree lakini hizi ni baadhi kwani kuna shahada za aina nyingi  na wengine hutoa za kitamaduni  kama zile za kidini, na za kidini kama mwanachama anahitaji kuwa na ujuzi kuhusu utatu wa Mungu Trinitarian yaani moja ya imani za kikristo au kutokana na uanachama wa matawi mengine yaliyotofauti na hilo au kwa mashirika mengine ambayo yanafikiriwa kuwa kuwa yana uhusiano na Freemason digree ziko nyingi na mtu mmoja huweza kupewa nyingi sana hata 33 kutokana na juhudi zake katika maswala mbalimbali ya kifreemason. Zaidi ya haya kuna jamii zinazohusiana kwa karibu sana na freemason lakini ni ambao hawana mfumo maalumu wa kawaida au hata usio wa kawaida  lakini wana uhusiano wa karibu na freemason na huenda wakawa ni freemason isipokuwa kwa sababau ya wao kuwa na tabia ya kujibadili kimuundo na kiaina ili kuendelea kuwa salama katika utendaji wa shughuli zao mfano wa hizo ni pamoja na Orange Order  yaani utaratibu wa chungwa kumbuka wakati wa maoni ya katiba Kenya chungwa na ndizi zilikuwa kampeni zilizohusu uandaaji wa Katiba wengine hujulikana kama Knights of Pythias, yaani chama maalumu cha wanaume kilichoundwa kwa kusudi la kuwasaidia wenzao  kiliundwa miaka ya 1860 mwanzilishi wake alikuwa mtu aliyejitoa katika karne ya nne kufa kwaajili ya rafiki yao ambaye alihukumiwa kifo, na wakati mwingine kiliitwa Independent Order of Odd Fellows
Kanuni na utendaji wa Freemason.
Wakati Freemason wakijulikana kama jamii ya siri wana freemason wenyewe wanadai kuwa ni sahii zaidi wakiitwa “esoteric  yaani zaidi ya siri au ngumu kutambulika au enye kutambuliwa na wachache sana kwa hiyo wao ni wasiri mmno na wameanza kuja kujulikana mnamo karne ya 21 ndipo siri zao zilipoanza kuvuja na kujulikana kama jamii yenye siri, na hata hivyo bado ni vigumu kutambua kwa undani wayafanyao zaidi ya kujulikana katika jamii kama wenye kutoa misaada ya kikarimu, wenye kujali maadili, usawa na katika maeneo mengine walijulikana kama watu wanaomuabudu Mungu mkuu na jamii yenye kujishughulisha na maendeleo, ukarabati na urafiki baadhi ya vyama vya kirafiki ni kama James Andersons Constitutions ambao kwa asili walijadiliwa sana katika jamii
Alama, Ishara na Maadili ya freemason
Freemason wanaendesha mikutao yao katika mfumo wa kiibada ulio maalumu sana usioweza kujulikana  ambao uko katika viwango vya juu na mfumo huo uko katika mitindo na tabia mbalimbali na kila wanachama au tawi wana uhuru wa kuunda mfumo wa alama, Ishara na mifumo ya kiibada ingawa kuna kufanana kwingi kwa mifumo hiyo,  kwa kawaida mifumo hiyo au ishara na alama wanazotumia zina uhusiano mkubwa na alama za kitaalamu za mafundi zilizotumika  nyakati za karne za kati walipokuwa wakichonga mawe, Freemason kwa ujumla ni wanafalsafa wa kijenzi kwa sasa kuliko hata swala la kujenga lenyewe utumiaji wa alama hizo unahusiana tu na maadili, upendo, ukweli, usawa, uhuru na utambuzi wa jamii yenye kujifungamanisha pamoja kama ilivyo kwa freemason wenyewe

Alama ya Rula ya square na bikari Compasses ni moja ya alama za zamani sana za wana mason alama hizo mara nyingi sana zinaonekana katika baadhi ya majengo au mahekalu ya ki freemason kwa mfano Rula ya square inafundisha na kutoa ujumbe kwamba Freemason wanatakiwa kuwa na matendo nyoofu na kusoma mazingira na shauku za watu na kuwasaidia huku wakisukumwa na huruma kwa wanadamu wenzao, ingawa kwa kuwa hakuna fundisho maalumu kuhusu alama zao hakuna tafasiri moja tu kwa alama hizo lakini hii ndio moja ya alama kuu sana za Freemason ambazo hutumiwa na wanafreemason wote ili mtu aweze kuwasiliana kupitia alama hizo anapaswa kuwa amejifunza na kufikia kiwango Fulani cha digrii na kuwa na uwezo wa Maarifa na ufahamu kujihusu na kuhusu uhusiano wake na wengine na mungu mkuu jumlisha na tafasiri yake mwenyewe, wakati maswala ya kifalsafa yahusuyo Freemason hujadiliwa katika mikutano yao na mafundisho yao pamoja na kufanya utafiti au kupokea maelekezo yao kutoka katika makundi yao au makundi mengine ya freemason na matawi mengine, kila mwana freemason anapaswa kuwa na alama anazopaswa kuzitumia na kuwa na ufahamu wa alama hiyo na makusudi yake na kwa ujumla kila mwana mason anapaswa kuwa na ujuzi huo na kuelewa umuhimu na wakati na matumizi ya alama hizo na kuzitumia na kujiendeleza kila anapofikia kiwango Fulani cha digrii lakini kumbuka kuwa hakuna maana moja tu ya alama inayozungumza jambo moja tu kwa wanafreemason wote.
Baadhi ya vyama hutumia vibao maalumu ambavyo hupakwa rangi na kuandikwa mifano Fulani ya alama zao zinazojulikana za ki freemason alama hizo zinaweza kutumika kufundishia maswala kadhaa wakati wa kutoa hutuba au mafundisho na zinaweza kutumika pia kwa aajili ya kutoa huduma Fulani kwa kila kiwango cha digrii katika digree tatu na kila wakati zinaweza kutumiwa katika kutoa funzo Fulani kwa kila kundi lenye uzoefu kama njia ya kujikumbusha kuhusu wazo Fulani walilojifunza au kupata furaha au uzoefu wa aina mpya, Freemason pia hutumia Misemo, mifano kupitia alama mbalimbali za kifreemason, wanaweza kuzitumia alama hizo kwa kusudi la kufundisha, mawazo Fulani na au alama zinazowakumbusha swala Fulani kuhusu Hekalu la Sulemani kuwakumbusha kuwa nini kinachambuliwa na wana freemason au kinakosolewa au kukumbushana mfumo fulani wa maadili kulingana na ishara hiyo inamaanisha, inaaminika pia alama hizo au ishara hizo huvuta uwepo mkubwa wa Mungu mkuu na kuleta msaada katika uhodari wa kunena na kukubalika katika jamii hivyo wakati mwingine alama hizo hutumiwa kwa njia ya wazi au kificho sana na ni vigumu kwa mtu wa kawaida kugundua isipokuwa wale walio wanachama wa freemason alama nyingine inaweza kufikiriwa kuwa ni mkao wa kawaida tu lakini muhusika huifaya akiwa na dhamiri kamili yenye kuvuta au kutoa ujumbe Fulani ambao mason wenzake wanaweza kujua na sio watu wengineua kujiwekea kinga au msaada wa Mungu wao kuwasaidia.

Alama na Ishara za Free mason


Inverted Pentagram inatumika katika maswala ya kichawi na utamaduni wa kijadi kuwaita roho wachafu na kwa ujumla inawakilisha uovu haijalishi kuwa ncha ngapi ziko juu au chini lakini inapokuwa na duara ni alama ya shetani.

Baphomet ni alama ya kipekee kwa shetani na inamwakilisha shetani inaweza kutengenezwa kwa vito vya aina mbalimbali na hutumiwa sasa na Mason na huweza kuonekana katika majengo yao na alama zao au katika magari yao ili kutambuana kama waabudu shetani.

Ni alama nyingine iitwayo Baphomet inapovaliwa inawakilisha ngazi ya juu sana ya kifreemason iliyofikiwa na mwanzilishi wa free masonl 33rd degree Albert Pike of the Masons ni kilelel cha juu katika mason


Pentagram  Ni alama iayotumi wan a wachawi kuwakilisha dunia, upepo, moto na maji na roho inayovizunuka.

Hexagram  ni nyota inayotumiwa kuwakilisha nguvu za utendaji wa giza na kufanyia uchawi hata hivyo hii sio nyota inayotumika na Israel katika bendera yao ambayo hujulikana kama nyota ya Daudi


Udjat or all seeing eye.   Jicho lionalo yote ni moja ya alama zinazomuhusu shetani Lucifer mfalme wa kuzimu ambaye atahukumu  na jicho hili lina chozi akiwasikitikia wale walio nje ya mpango wake
All seeing Eye  Jicho lionalo yote inaaminiwa kuwa ni jicho la Lucifer na wale wanaotawala  fedha za ulimwengu, hutumiwa pia katika kupiga ramli, kulaani, kutawala ulimwengu,  ni moja ya alama za jeshi la Freemason liitwalo Illiminat na ni moja ya alama za msingi za Utaratibu mpya wa ulimwengu New Woprld

Logo of Time Warner/ AOL!   Ni alama inayowakilisha Udjat na akin au macho yaonayo ambayo humaanisha mungu nayehusika na kutawala unayoyaona na kuyasikia wanakandamiza kweli kabisa

Tau Cross Ni alama ua mungu aitwaye Mathras wa uajemi na India ambao kwao huyu alikuwa malaika wa nuru mbinguni hutumiwa na freemason kama moja ya alama zao za T. square.

Italian Horn Pembe ya kiitalia ni fimbo iliyogunduliwa na Druids of Scotland na Ireland kama fimbo ya mafanikio na bahati njema na hutumika pia kuzima jicho baya Maluka na humaanisha kuwa shetani atalinda fedha zako.

Ankh ni alama ya uzazi inayotumiwa kuwakilisha maswala ya uzazi hutumika kujenga tama ya mapenzi na kumvua roho wa tamaa ya ngono na inawakilisha via vya uzazi cha kike na kiume na pia ni muhuri wa maisha marefu

Upside Down Cross Msalaba uliopinduka unaotumiwa kukejeli na kumkataa Yesu huvaliwa kama Cheni na waabudu shetani wengi huvaliwa sana na waimbai wa Rock na kwenye alibum zao huweka.

Zodiac  ni alama itumiwayo na shetani na waabudu shetani ni alama itumikayo kumtambua Mungu wao yaani baal au lucifer
Goat Head Kichwa cha Mbuzi alama ya kumuheshimu Mbuzi kuadhimisha Mungu mkuu wa wachawi ni kama mbuzi wa hazazel inatumika kumkashifu Yesu ambaye ni mwanakondoo aliyekufa kwaajili yetu.

Cross of Nero - Or Peace sign. Msalaba wa Nero ni alaa ningine ya kukashifu Msalaba wa Yesu Kristo unajulikana kamaalama ya kichawi ya Ujerumani ya mtu aliyekufa ilitumiwa pia na mbaadhi ya wafuasi wa Hitler..

Yin-Yang  ni alama ya kichina na kikorea inayowakilisha Falsafa ya kuweko kwa nguvu mbli zinazotawala ulimwengu nguvu hizo zinztegemeana  Yang ni ya kike na Yin ni ya kiume yaani ya giza na nuru

Scarab Beetle Ni alama ua buu lililotimika sana huko Misri kama alama ya mabadiliko ilikuwa pia alama ya Beelzebuli munu wa mainzi yaani shetani ni alama inayotumika kuonyesha kuwa wana nguvu na ni chanzo cha ulinzi.

Satanic "S" Alama S ya shetani inawakilisha nuru ya uharibifu  ni alama ya Zeu kama silaha , inawakilisha shinda upate nguvu dhidi ya wengine na ilitumiwa pia na wanazi wa Ujerumani
Satanic Cross Msalaba wa shetani ukiwa na alama ya kuuliza iliyopinduliwa ju chini kuwakilisha maswali kuhusu mungu ni alama inayowakilisha shetani, beliali na lewiathan na ni alama inayowakilisha nguvu chini ya Lucifer. 

Star and Crescent  Nyota na mwezi vyeusi humaanisha mungu mke mwezi aitwae Dianna mwana wa asubuhi pia huitwa Lucifer inatumika kwa uchawi  



 Horned God  Mkono wa Heshima unawakilisha kumuheshimu mungu mkuu wa kichawi Pan or Cernunnos kumbuka kuwa kidole gumba kinakuwa chini wakati huo na hufanywa kwa mkono wa kulia 

Horned Hand Mkono wa Heshima ni alama ya kutambuana kwa wanauchawi wa freemason na inapoelekezwa kwa mtu ina maana ya kumlaani hasa kidole gumba kinapokuwa juu ya vidole viwili vya kati na hili hufanywa kwa mkono wa kushoto.

Witch Sign or Moon Sign alama ya kichawi au alama ya mwezi inatumika kuwasalimu mungu mwezi na pia hutumiwa na wachezaji mpira wa miguu alama hii ni tofauti na nyinginezo juu hii hutumika kuwakilisha kuwa wako pamoja

666 Ni namba ya Mwanadamu na ni namba ya mpinga Kristo Ufunuo 13; 18 Freemason huzitumia alama hizi wazi wazi wakati mwingine.

Swastika or Sun Wheel Ni alama ya zamani sana ya kidini iliyotumiwa kabla ya Hitler hajaingia madarakani ilitumiwa na wabudha kama alama ya maandiko ya kibudha na watu wanaoabudu mungu jua aliyesababisha mbingu.  
 
ALL-SEEING EYE Jicho lenye kuona Yote: ni alama kubwa sana inayotumiwa na freemason ulimwenguni kumaanisha ujuzi wa kiroho, Maono thabiti, maarifa ya hali ya juu au ujuzi wa juu sana katika maswala siri za kichawi alama hii inapatikana katika moja ya Dolla ya biliooni moja ya Marekani
EYE in top Triangle of the PYRAMID: Jicho juu ya pembe tatu au pramidi ni alama ya freemason inayowakilisha jicho la mungu mwenye kujua yote “the omniscient”alama hii ina asili ya miungu ya kipagani ya huko Misiri ambako wana mason walijenga mapiramidi yenye kushangaza hata leo na kuingia katika rekodi ya maajabu saba ya dunia
ALCHEMY:  ni alama iliyotumiwa zaidi mnamo karne ya 17 alama hii yenye kuonyesha mahesabu ya kijiometri yaani mzingo, pembe tatu na mraba ni uwakilishi wa lugha Fulani inayohitajika katika maswala ya kichawi baadhi ya michezo katika komputa inahusisha alama hizo
 
AMULET:  ni Hirizi ya kichawi ambayo ina umbile la dubu ambazo huvaliwa kama heleni au cheni ili kuleta nafuu, bahati na ulinzi na kujilinda kutoka katika magonjwa, ajali, na nguvu za giza.
ANARCHY:  Ni alama maarufu sana kwa wanafunzi wa mashuleni ni alama inayotoa ujumbe wa kuasi au kuvunja sheria inatumiwa sana na wanashetani wengi wakati mwingine A inaweza kuonekana nje ya Mzunguko, pia hutumika kama alama ya nguvu za mapepo zenye kuwasukuma vijana kufanya ngono kupita kawaida na kujiua ASMODEAS: Ni jina la pepo anayehusika na shughuli hiyo ya kujiua na kuchochea utendaji ngono.
 
ANKH:  Ni msalaba wa ki - Misri unaowakilisha Siri ya uzima wa milele, kuzaliwa upya na kupokea nguvu kutoka kwa mungu jua.
ANGEL: Malaika Ni alama ya majini mema na mabaya yaliyoko ulimwenguni pia ni malaika wa kitibeti anayewakilisha malaika wa kichawi. ni roho wanaojishughulisha kufundisha watu kuhusu uchawi
ARROW: Upinde au uta  ni picha zinazoonyesha ujuzi wa kinyota, nguvu, vita, kupepeta na mungu jua mionzi yake ikiwakilisha maarifa na hekima kutoka kwa miungu ya kigiriki Appolo na mungu mke Artemis na mungu wa kihindu Rudra na miungu mingine ya kimapenzi yenye kutoa mvuto wa mapenzi kama Eros wa kigiriki, Cupid wa kirumi, Kama wa Kihindu, na mithra mungu wa mashujaa wa Amerika, miungu ya nguvu za kiume,
Crystal (Gazing) BALL: Tufe maalumu linatumika katika kazi za utambuzi yaani kupiga ramli pia hujulikana kama kioo cha kichawi.
BAT:Popo ni alama ya bahati nzuri huko mashariki inawakilisha Pepo na roho chafu hutumika pia huko ulaya
BLAIR WITCH:  Pembe tano  na pembe tatu ndogo katikati inayoangalia chini ni alama inayoonyesha kama mtu mwenye miguu na mikono ni moja ya hirizi ya kichawi

 
BUTTERFLY: Kipepeo ni alama inayowakilisha badiliko la kiroho kama vile kuzaliwa mara ya pili 2Koritho 5; 17 na kuwa kiumbe kipya kwa Wakristo lakini kwa wapagani na freemason ni alama ya mabadiliko ya kiroho au kujigeuza kitu Fulani kingineni alama ya kukua kiroho katika uchawi.
CHAOS: Gurudumu ni gurudumu la kichawi lenye vishale nane vinavyowakilisha uwezo wa kuwa pande zote na uharibifu wa kichawi katika kutawanya au kufarakanisha ni kinyume na utaratibu na kwa kuwa kila kitu kinabadilika hakuna uzuri wala ubaya

 
CIRCLE (sacred hoop, ring):  Pete ni alama ya umoja ya kizamani sana inayomaanisha yote, umoja, ukamilifu, na nguvu za mungu mke na mungu wa nguvu za kiume na inawakilishwa na mkia wa nyoka aliyeuma mkia wake kuwakilisha nyoka wa ulimwengu huu.
CIRCLE with a DOT (BINDU) in the center: Duara na nukta ya katikati ni alama ngumu sana kuelezeka kwa wahindu na wabudha ambayo huwakilisha mwanaume na mwanamke nukta ndogo ni uume na duara kubwa ni uke pia huwakilisha mungu jua.
 
CIRCLE (quartered):  Mzunguko wenye robo nne ni mzunguko mtakatifu uliojazwa na Msalaba ulio sawa kuwakilisha roho sawa ya kusini, Kaskazini, mashariki na magharibi, pia ni uwakilishi wa Maji, moto, upepo na ardhi kwa waamerika wa zamani iliwakilisha maswala ya tairi la matibabu na lina uhusiano mkubwa na maswala ya kiroho, wapagani waliitimia ishara hiyo kuwakilisha utowaji nguvu wa mungu mke wa jua.
 
COMPASS (Masonic): Ni alama maarufu sana na ya zamani zaidi ya freemason yaani bikari au Kampas na Rula aina ya mraba yaani square ambayo ni alama ya kuweka maswala sawa ya kiroho na kmwili, na ilitumiwa na Wamisri kuwakilisha maswala ya siri ya kiroho.
 
COW: Ngo’ombe anamwakilisha mungu wa anga aitwae Hathor kwa wamisri, na anawakilisha kuangaziwa kwa wabbudha na uwakilishi wa ngazi ya juu sana ya kiroho ya Uhindu.
 
CRESCENT MOON: Mwezi ni alama ya mungu mke aitwaye crone anayesababisha Uchawi, ushindi na kifo kwa waislamu wengi katika inchi za kiislamu na mara nyingi utaona ncha zake zikihitimisa na umbile la nyota au pentagon umbile pembe tano.
CROSS: wakati kila mmoja anajua wazi hata wapagani kuwa Msalaba ni alama ya nini lakini kuwa makini na msalaba huu ambao umepambwa na alama kadhaa za kichawi ukidhalilisha msalaba halisi wa Kristo hivyo wakristo wanapaswa kuwa makini ni aina gani ya mslaba wanavaa.


Inverted cross: Msalaba uliogeuzwa juu chini huwakilisha kifo cha mtume Petro ambaye alisulubiwa kichwa chini miguu juu kwa kutaka kwake mwenyewe ili asifanane na Kristo, Lakini hata hivyo Msalaba unapogeuzwa juu chini wakati mwingine hauna maana ya kifo cha Petro bali ni kazi za Shetani kujaribu kusanifu msalaba wa Yesu na kuonyesha kuwa ni uongo kuamini katika Msalaba wa Yesu.
CROSS (IRON or EISERNAS KREUZ):  Ni msalanba ambao pia huitwa Mantuan au Maltese cross. Kwanza unawakilisha mungu wa zamani wa hekalu huko MaltaFirst linked to an ancient goddess temple on Malta, na baadaye kufanywa msalaba wa chuma huko Prussia. Wakati wa vita vya kwanza vya dunia ulivaliwa na wapiganaji wa kijerumani walioendesha ndege na vifaru baadaye ikawa ni alama mbaya sana kwa wafaransa, na wareno kama ilivyo alama ya Swastika ya wanazi wakati wa Hitler.
Double-headed Eagle: Tai mwenye vichwa viwili ni alama ya Freemason ambayo juu yake kuna pembe tatu na alama 33 juu ya tai  ni  Muhuri mkuu wa Mason  kuwakilisha Jua, nguvu, na ushindi dhidi mataifa na falme zao mwana mason anapoweka alama hii ni kuvuta hisia tawala ya kuwa juu ya kila kitu
 
DRAGON:  Joka ambalo limeundwa na miguu ya wanyama wa aina mbalimbalia aina ya mijusi, ndege na simba na wakati mwingine vichwa vingi na wakati mwingine anataoa moto kumaaanisha hatari ikiaminiwa kuwa ana nguvu dhidi ya uovu, na nguvu za kusaidia katika Biblia joka hili humwakilisha shetani.
 
DREAMCATCHER:  Kidaka ndoto ni moja ya alama inayotumiwa na waamerika wa kihindi kama wavu wa Buibui inaaminika kuwa alama hii inaharibu ndoto mbaya na kuruhusu ndoto njema na watoto wengi huwekewa karibu na kitanda ili wasiote ndoto mbaya
 
ELEMENTS: alama nne za kipagani ambazo huwakilisha ardhi,maji, hewa na moto ikifikiriwa kushuhulikia njaa na maswala ya majira
 
EYE OF HORUS: Jicho la Horus.Huyu ni mungu wa kimisri mungu juaalitokana na Isis na Osiris ndio waliomzaa, hutumika kama mhirizi ya kuzima uchawi jicho hili linapohusishwa na alama nyingine hutumika kuongezea nguvu za kichawi kama msalaba uzio wa kibiblia na mionzi ya mungu jua.
 
FROG: Chura; ni alama ya uzazi ina uhusiano na Mungu mke  Aphrodite,kwa wamisiri ni mungu mke Heket  na kwa wachina huwakilisha mwezi  akiaminiwa kuleta uponyaji na mafanikio pia hutumiwa kama hirizi ya kuleta mvua.katika maswala ya kichawi
 
HEXAGRAM (see "triangles) or SIX-POINTED STAR: Nyota ya pembe sita; alama hii inapozungukwa na duara inamaanisha ufahamu wa kiungu na inapokuwa bila duara kwa wayahudi ni nyota ya Daudi, kwa wachawi ni alama ya ujuzi wa kichawi.
ITALIAN HORN (Cornu, Cornicello, Wiggly Horn, Unicorn horn, Lucifier's horn or Leprechaun staff).Pembe ya kiitalia huitwa pia pembe ya Lucifer yaani shetani ilitumiwa kama hirizi kwaajili ya ulinzi dhidi ya jicho baya na pia hutumiwa katika maana nyingine za kichawi na nguvu za kimapenzi wakati mwingine huvaliwa pamoja na msalaba kwaajili ya kuongeza bahati au ulinzi maradufu, 
LIGHTNING BOLT: alama ya mwanga wa radi ilitumika na waamerika wa zamani na warumi na wayunani kama alama ya mungu wa anga kuyaadhibu maji au alama ya mungu kuyabariki maji kwa uzao na kuirutubisha duniaau nguvu ya wanazi.
LIZARD: mjusi ni alama ya kutafuta jua kwa warumi mjusi ni alama ya nafsi inayotafuta kifo na ufufuo.
Magic MIRROR: Kioo cha uchawi kinatumika kwa kutabiri maswala yajayo, kutatua matatizo, kupiga ramli, kuweka mambo vizuri, kuonea maono na kufunua mambo yaliyojificha.
 
MASONS (Freemasons): alama kuu ya freemason rula ya square na kampasi au bikari na mzungko wa nyoka aliyeng’ata mkia wake na juu ya kampasi ni jicho la Horus alama ya rula ya square ni alama ya kuelekea ukamilifu na mizani ya maisha kati ya maswala ya kiroho na ya kimwili alama hii inaasili ya Misri na maswala ya kichawi huko Bikari inawakilisha maswala ya kiroho na rula inawakilisha maswala ya kimwili. Mungu wa freemason hutumia Bikari alama kuu ya vidole vyake kama utaona vema picha ya nje kwenye jalada la kitabu hiki.
 
MASK: ni alama inaotumiwa na wapagani kuwakilisha nguvu ya wanyama asili na roo au mizimu unapoivaa huwa kama hirizi na hutumiwa katika ngoma za dansi kwa kusudi la kuziita nguvu za kichawi kwa ujumla alama hii ni ya mungu wa kichawi wa kihindu aitwaye Ganesha.
OM:  Ni maandishi ya ki-Sanskrit  ambayo ni matakatifu kwa wahidnu sawa na ohm ambaye ni mama wa maswala manne yaani kuamka,kulala, kuota na kubadilika kimazingara
 
PENTACLE or PENTAGRAM (FIVE-POINTED STAR pointing up): Nyota yenye ncha inayoangalia juu ni alama ya wachawi na makundi ya kichawi yanayohusika na kuroga pia ni alama ya freemason inawakilisha Upepo, maji, dunia na moto na mzunguko unawakilisha mungu wa dunia  inatumika alama hii kwa ulinzi, kuongeza nguvu, kuadhibu na kuteka inategemeana na jinsi utakavyoichora.
 
PENTAGRAM (FIVE-POINTED STAR pointing down): Nyota yenye ncha iliyoelekea chini  inatumika kwa uchawi na maswala yanayomwakilisha shetani, ni alama ya kumuheshimu shetani na wakati mwingine hujumuishwa na kichwa cha mbuzi
PHILOSOPHERS STONE:  Jiwe la kifalsafa ni alama ya Alchemist  inaoumka kubadilsha ufunuop wa kiroho na kuangaziwa ni alama ya waingereza iliyotumiwa na waunga mashairi wa kwanza zamani kuweko kwa tai mwenye vichwa viwili ni muhuri wa freemason
PHOENIX:  Ni alama ya dunia ya Jua inawakilisha kuzaliwa upya, kufufuliwa, na maswala ya umilele, ndege mwekundu ni Ishaa ya ndege aliyekufa na kisha akafufuka ni alama za waabudu moto huko uturuki na mungu jua wa kimexico
   
SCARAB:  alama ya mungu chepri wa kimisri na mungu jua inawakilisha ulinzi kutoka katika mabaya kwa wamisiri mdudud huyu husukma uchafu nyuma ambao wao hufikiri kuwa ni jua likisukumwa angani alama hii imekuwa ni muhuri maarufu kwa wachawi. ni Alama inayotumika kama maono na ulinzi dhidi ya roho chafu na ushindi dhidi ya utasa used its pattern in their magical diagrams.
 
SERPENT OR SNAKE:  Nyoka Watu wengi duniani kutoka katika tamaduni mbalimbali huabudu nyoka anapojing’ata anamaanisha kuzaliwa upya, kujilinda na uovu, ngono kwa wanaume na wanawake, mvua na urutubishaji, pia mpatanishi kati ya maswala ya kimwili na kiroho, kibiblia wakati wote humaanisha shetani, dhambi, majaribu na uharibifu.
 
SPIDER: Buibuimkuu Nge; Humaanisha kifo na madhara katika tamaduni nying, I mungu wa tamaduni za zamani za kiafrika, katika historia za kiyunani mungu mke Arachne aligeuzwa kuwa buibui kwa sababu ya wivu wa Athena kwa wakristo ni pepo na nguvu za giza kwa wachina ni alama ya furaha kutoka mbinguni.
SPHINX: Mungu mwenye kichwa cha binadamu na mwili wa simba wamisri wa kale na wababeli waliiabudu, kwa wanafreemason ni mungu mwenye kuuliza maswali wageni na kuwaadhibu endapo wameshindwa kujibu, ni mlinzi wa siri na hakuna swali asiloweza kulijibu ukimtegemea akikuuliza swali ukishindwa unakufa na ukimuuliza swali akishindwa anakufa kwa niaba yako.
 
SPIRAL:  Mjamzito; akiwa amezungukwa na mzunguko ni alama ya mungu wa uzazi na mimba kupitia nguvu za nyoka na kadiri nyoka anavyobadilika ndivyo ulimwengu unavyobadilika.
 
SQUARE: Mraba ukiwa umeizunguka duara ambayo huwakilisha dunia inawakilisha utawa na maswala ya kiroho mraba unawakilisha ulimwengu wa kimwili na mzunguko unawakilisha pande zote za dunia na maswala ya kiroho ya kike maeneo mengi huwakilisha usawa wa jinsia ya kike.
SUN FACE: Uso wa jua.Ni picha iliyotumiwa mnamo karne ya 18 na wanamason wanaopaka rangi, lakini ni alama ya kiini cha maswala yote makuu ya kiroho katika historia alama hii ina umuhimu mkubwa kwa waabudu wa kipagani na ni moja ya alama za siri za kichawi kote duniani jua huabudiwa kama Mungu na mzimu wa mataifa.
 
SUN & MOON JOINED AS ONE: Jua na mwezi uliojiunga pamoja. Ni alama ya kiulimwengu ya nguvu mbili zinazoendesha mambo kama Yin na Yang, ni ishara ya ndoa ya jua mwanaume na mwezi mwanamke hivyo ni muungano wa vinavyotofautiana, inahusika na kuchukuliana badala ya kukosana na ni ishara ya uthibitisho wa dhamiri mpya ya kuwa sote ni wamoja
 
SUN and SUN SIGN: Jua na alama ya Jua, Jua liliabudiwa kama Mungu anayetoa uhai huko Babeli,Misri, Ugiriki na Rumi doti linaweza kumaanisha Jicho la Mungu na pia uhai katika tumbo la mwanamke.
SUN SIGN 2: Jua na alama kadhaa hupatikana huko Uturuki ikiaminiwa kuwa na muelekeo wa pande nne za jua.
SUN WHEEL or RING CROSS: Tairi la jua na pete ya Msalaba.Ni alama ya ulimwengu iliyovumbuliwa huko Columbia Amerika na katika inchi za Nordic, inatumiwa leo na mashirika ya Mafashist na kutokana na kamusi ya alama inasemekana alama hii huwakilisha nguvu za mungu mkuu pia hutumiwa na chama cha kijamaa cha kisweden.
 
SWASTIKA 1: Ni alama ya zamani sana ya kichawi ni Jua pamoja na pande zake nne ilitumiwa na Hitler inawakilisha ubaguzi wa rangi, na usafu wa wa Nazi wa leo kama zilivyo alam nyingi za kichawi wakati mwingine huwekwa kwenye Duara.
SWASTIKA 2 (Crux Dissimulata): Ni alama ya zamani sana ya kichawi ni Jua pamoja na pande zake nne swastika inawaklisha roho na moto na jua ilitumiwa sana huko Urusi na Ujerumani katika baadhi ya makabila alama hii huwakilisha muungano wa mbingu na nchi na ukamilifu wa mwanadamu.
SWASTIKA 3: Inawakilisha aina nyingi za alama za swastikas kama zilivyo hizo hapo juu incha zake zinaelekea tofauti inawakilisha mwezi na uume.
THEOSOPHY: Ni alama iliyorahisishwa na inaaminika ilitumiwa na Kiongozi wa umoja wa Mataifa Robert Muller ni nyota ya vita na alama nyinginezo  za kichawi
TOAD:  Chura; Anahusiana na alama za uchawi na wanga
TONGUE (protruding): Ulimi wa moto ni Mungu anayehusika na maswala ya moto, uzalishaji na maswala ya nguvu za uzazi na nguvu za kiroho duniani anaaminika kote duniani ni pepo linalohusika na nguvu za ngono ni roho zinazo saidia kuwa na usemi katika makathedro na majengo makubwa.
TOTEM:  Totem ni mchoro wa kuchora unaowakilisha nguvu za wanyama  na mizimu ya binadamu kwa watu wa India na Amerika inaaminika kuwa una aminiwa kuwa  una nguvu za asili za kiroho na mlinzi wa wanyama na mizimu.
TRIANGLE (earring pictured): Ina uhusiano na nambari tatu ikielekezwa juu inamaanisha Moto, uume na nguvu za Mungu kama ilivyo kwa piramidi kwa wakristo inamaanisha utatu wa Mungu na ikielekezwa chini inamaanisha maji, uke na mungu mke au dini ya mungu mke na maswala ya homosexuality.
 
UNICORN:  kwa wengi waliozaliwa siku za karibuni inamaanisha nguvu, Usafi, uponyaji, kujitambua, hekima, kufanywa upya,na maisha mapya. Kwa asili alama hii ilianzaia karne ya 4 Baada ya Kristo Katika historia ya Kiyunani ilimaanisha mnyama porini mwenye uponyaji na pembe kali katika kichwa chake.
UROBORUS:  Mzunguko wa nyoka anayeng’ata mkia wake huwakilisha umilele kwa Umoja wa mataifa ni alama ya Utu na ilipitishwa mwaka 1996.
 
WHEEL:  ni alama ya ulimwengu ya maswala ya nyota na ramli au umoja wa maswala ya anga ni alama tya wapagani ya kujumlisha aina yoyote ya namba na pia hutumiwa na wabudha kumaanisha maisha, kwa waamerika ni tairi au gurudumu la matibabu wahindi huiita madala kumaanisha umoja, hamasisho,jua na mzunguko wa maisha.
Tibetan Prayer WHEELS: "Tairi la kitibeti ni chombo cha kiroho kwaajili ya kutoa Baraka na kutakia mema inazungushwa na vijikaratasi vyenye dua zilizoandikwa na kuzungushwa tairi hili hutumiwa na wabudha wa kitibeti wanaoamini katika mantara dua inayofanywa kupitia gurudumu hilo linapopiga kelele au kuwa kimya linamaanisha baraka na huruma.kwahi yo ni gurudumula maombi.
WHEEL OF DHARMA: Ni gurudumu la ibudha la maisha na mzunguko wa maisha..
WORLD TRIAD:  kwa asili alama hii ilichukuliwa na wanostiki wa kimagharibi kama alama ya uumbaji kupitia nguvu tatu kuu za asili kwa wajapan ni alama ya roho ya ulimwengu kama ilivyo yin na yang, alama hii hutumiwa na Idara ya Usafirishaji ya Marekani.
        
YIN YANG:  Yin yang ni ala ya kichina ya picha ya ulimwengu ya usawa kwa dini ya Tao inawakilisha umoja wa jinsia tofauti, Nuru na giza huwakilisha pia mungu ni mmoja au Mungu ni kila kitu na pia katika Kristo wote tu wamoja pia inawakilisha umaaruu endapo itavaliwa kama pete inaonyesha maono, hatua, kushinda nguvu za upinzani na moyo wa kitakatifu na afya.
COMPOUND SYMBOLS ALAMA MCHANGANYIKO.
ASTROLOGICAL CHART: Alama ya Kinajimu ilitumiwa na wana alkemi wa kati kwaajili ya utambuzi inamaanisha Uwezo wa kiakili na sayari na Mungu wa kirumi mercury na kati kuna pembe tatu alama nyinginezo zinazozunguka ni za kichawi huumiwa sana na waganga na wachawi wa Afrika..
All-seeing EYE in the PYRAMID: Piramidi yenye jicho lionalo yote ni alama ya kiofisi ya idara inayojihusisha na kujua yote, na kuwa na taarifa zote inayotumiwa na serikali ya Marekani, ni jicho linalotumiwa pia na wanamason kumaanisha jicho lionalo yote la utaratibu wa ulimwengu mpya mwaka 2002 december alama hii iliondolewa na shirika la TIA Marekani kwa sababu ya kulalamikiwa na wengi. Federal database spy site fading away]
The GREAT SEAL of the United States of America: Muhuri Mkuu wa U.S.A. Ubunifu wa alama hii ya kitaifa ulikamilika mwaka 1782 unafikiriwa na wengi kuwa ni alama ya kichawi na ni ya kimason na maneno ya muhuri huu maana yeke ni “mmoja aliyetoka katika ya wengi” E Pluribus Unum pia yako maneno "Novus Ordo Seclorum" yakimaanisha kuwa mpango mpya wa nyakati unaweza kuthibitisha hili kupitia wavuti ifuatayo www.greatseal.com. Pande mbilizaonyesha alama ya tai na jicho katika piramidi lakini maana halisi ni mpango mpya wa ulimwengu. NEW WORLD ORDER [novus = new, ordo = order, seclorum = secular or world]

Watu maarufu Duniani wanaojihusisha na Freemason.
Kuna kundi la  watu maarufu wengi ambao inasemekana kuwa ni wanachama wa freemason Duniani na walikamatwa na kamera wakitumia alama za kishetani au mbuzi kwa kubana vidole vya kati viwili na kutengeneza Alama ya siri ya Pembe za Mbuzi ili kumsifu mungu wao Lucifer au kuwapungia wanamason wenzao kwa watu wa kawaida ni vigumu sana kufahamu salamu hizo zaweza kuonekana kuwa za kawaida  lakini vidole viwili vya kati hubanwa au kukunjwa ili kutoa heshima kwa wanamason wenzako au mungu wao ifuatayo ni miongoni mwa mifano ya wana freemason maarufu walioweka Pozi za kimason Usishituke unapowaona usio wategemea Mambo ndivyo yalivyo.





Mungu mkuu wa Freemason na Sheria za Freemason
Kila mwanachama wa Freemason anapaswa kumwamini Mungu mkuu ingawa hawaulizwi kufafanua zaidi au kuelezea ni mungu mkuu wa namna gani,na ndani ya ukumbi hairuhusiwi kujadili maswala ya Kisiasa au ya kidini hiyo inakatazwa sana na kwa sababu hiyo kila mwanachama hatawekwa katika daraja flani kulingana na uelewa wake kuhusu maswala yake binafsi, kwa msingi huo Mungu mkuu kwa wanamason huweza kumaanisha utatu kwa mason mkristo, Allah kwa mason muislamu, Para Brahaman kwa mason mhindu, na kadhalika na wengine wanaweza kushikilia maswala ya falsafa zao kuhusu tafasiri zake kuhusu mungu mkuu.
Kwa wana freemason mungu mkuu huitwa Fundi mkuu wa ulimwengu Great Architect of the Universe ambaye anafafanuliwa katika alama kuu za freemason yaani kampas na rula aina ya square, maandiko makuu ya kifreemason ni kitabu cha kila dini cha muhusika na vinapatikana wakati wote katika majengo ya mikutano yao, kwa msingi huo kama mwanachama ni mkristo katika inchi ya wanaozungumza kiingereza watakutana na Biblia iitwayo King James Version of the Bible au toleo linguine la kingereza kulingana na uchaguzi wa mtu, na wa dini nyingine kutokana na vitabu vya dini zao na mwanachama anapewa maandiko ya kitabu chake kulingana na jukumu analopewa na imani aliyo nayo kwa makao makuu ya Mason UGLE  au kulingana na kiapo sawa na viapo vingine vinavyokubalika na UGLE huko Uingereza, kwa kawaida ni jambo la kawaida kabisa kukuta maandiko ya aina tofauti tofauti kulingana na imani za watu na mabara tofauti tofauti na hivyo ni rahisi pia kukuta maandiko ambayo si ya kidini au ni ya dini za kiasili.


Katika karne ya 19 lilikuwa ni jambo lakawaida kwa wanamason kukabidhiwa cheti cha shahada yaani degree ya utaalamu wa kimason aina hizo za degree zilikuwa ni pamoja na degree hizo za Freemason  zilikuwa zimegawanyika katika maeneo makuu matatu
1.      Entered Apprentice  - ni shahada ya kuanzia ambayo inakupa haki ya kuwa mwana freemason
2.      Fellow Craft – Ni shahada ya kati ambayo inahusisha kujifunza na kusoma zaidi
3.      Master Mason – ni shahada ya tatu ambayo inakulazimu kuhusika katika shughuli za juu zaidi na matarajio au mitazamo mikubwa ya wana freemason
Jambo moja la kushangaza ni kuwa degree hizi zinawakilisha ukuaji binafsi wa mtu na katika freemason hakuna mtazamo kuhusu jambo moja tu unapojisomea masomo yako unatafasiri kwa mtazamo wako binafsi na tafasiri hiyo inakamatwa na sheria zinazokufunga katika swala zima eneo ambalo mwana mason anafanyia kazi jambo la msingi likiwa kuwa kila mwanafreemason anapaswa kufikia kiwango cha kupata majibu ya maisha yanayotoa majibu muhimu ya maswala ya kifalsafa, Hakuna digrii ya juu zaidi ya Master mason na zaidi ya hapo ni kupandishwa vyeo, kwa mfano mason wa Scottish Rite, wanatoa digrii kati ya 4 -33 ni muhimu kwa mwanamason kuwa Master Mason kabla ya kuchukua degree hizo za juu zaidi degree hizo hata hivyo ni madaraja katika ngazi za juu za kifreemason. Na jambo kubwa zaidi wanalolifanya katika degree hizo za juu zaidi ni kuandaa masomo yenye majibu ya kifalsafa na kuwasilisha katika kumbi za mikutano, na nukuu za wana falsafa wa kimason kama ni kutoka katika magazeti yao, vitabu na maswala mengine anayoweza kujenga katika maswala ya kiroho na kimaadili, mashirika utawala na utendaji au historia na karatasi hizo za uwakilishi wa zinatuzwa ki taaluma.
Ishara, utendaji na misemo
Wanafreemason hutumia Ishara na maneno yasiyo ya mdomo yaani alama, matendo na misemo katika namna ya kusalimiana na kupata kukaribishwa katika mikutano yao na kuwatambua wageni wanaowatembelea, Kutoka katika karne ya 18 na kuendelea aina nyingi za kimaandiko zimetokea  zinazoweka wazi aina za ishara utendaji, na siri nyinginezo na kila tawi lina namna yake ya matumizi kuhusu ishara hizo na wanaweza kuunda za mifumo yao ya ishara na inaweza kuwa ngumu sana kwa watu wa kawaida  nje ya freemason kujua matumizi a ishara hizo na kila jumuiya inaruhusiwa kutoa vyeti, Ishara na aina yake ya kiutendaji misemo na ishara au anuani za kificho.
Majukumu.
Majukumu muhimu kwa kila mwanachama wa freemason ni kuhakikisha kuwa anatunza kiapo ambacho ameapishwa kuhusu kutunza siri za freemason ikiwa ni pamoja na kutokutoa siri ya alama, misemo, na maneno na kuhakikisha kuwa unaishi sawa na maadili ya kijadi ya sheria na tamaduni za freemason na katika hali ya kawaida unapaswa kuapa mbele za mungu mkuu na kwa kuhakikisha kuwa ni kwa mapenzi yako bila kulazimishwa utatii Sheria zao.
Uchanganuzi wa majukumu unatofautiana katika badhi ya vichapo na wakati nyingine zinafichwa na kuchapwa kwa siri katika vitabu vyao na sheria nyingine ni zile zinazo zitolewazo kwa maneno ambazo hazina kitabu maalumu ingwa ni muhimu kujua pia kuwa si kila kilichochapishwa  ni lazima kishikwe kama sheria  isipokuwa yako maswala ya msingi ambayo ni muhimu sana kama kutii sheria na mungu mkuu na kutii sheria za taifa unaloishi na kuahidi kuhudhuria makutano yao kila nafasi ipatikanapo kuahidi kutokukosea, kudanganya hususani nduguyo katika chama na kuahidi kusaidia wanachama wa familia ya kifreemason hususani katika nyakati za mahitaji na swala hili linapaswa kufanyika bila kuathiri kipato chako na cha wale wanaokutegemea.
Jukumu linguine la freemason ni jukumu la kihistoria ambapo freemason anapaswa kulipa adhabu ya damu ambalo ni jukumu linalopaswa kutimizwa kila hatua ya degree ikiwa ni pamoja na viapo katika maandiko maalumu adhabu hizo mara nyini zinaweza kurukwa na kutokutimizwa mpaka kwa muhisika anayefikia kiwango cha degree ya tatu lakini utapaswa kuitimiza adhabu hiyo kidogokidogo katika sikuu zao za kiheshima hata hivyo adhabu ya damu sio lazima iletwe damu kamili inaweza kuletwa aina ya ishara  na huwa hailetwi katika mkutano husika wa kawaida  na si kila jamii ya freemason wanafanya hivyo, adhabu nyingine zinaweza kuwa kutengwa,kulipuliwa, kufokewa au kufukuzwa.
Mipaka ya kimajukumu.
Mipaka ya freemason inaelezewa na vyanzo vya zamani zaidi kuwa ni kanuni zisizobadilika na ambayo inakubalika na kila wanachama wa freemason lakini kila mamlaka ina hukumu maswala yake  na hakuna tawi linaloweza kuwa na mamlaka dhidi ya lingine, Mipaka ya freemason  inajitokeza katika sheria zao za mwaka 1723 na inaonekana kurithiwa na kutendewa kazi hata 1858 Albert G. Mackey alijaribu kuweka kanuniza mipaka zipatazo 25 na mwaka 1863 George Oliver alichapisha sheria za mipaka zipatazo 40 huko Marekani wao hutofautiana mfano huko West Virginia wanazo 7 na New Jesey 10 na Nevada 39 na Kenuck 54.
Majukumu ya kiukarimu
Kwa ujumla wanafreemason pia hujihusisha na maswala ya kiukarimu ambapo fedha hukusanywa kwa wanachama tu na zinapaswa kutolewa kwa wale wasio wanachama wa freemason hili ni kusudi kubwa ka freemason kwa ulimwenguni kote kwa mahali pamoja kitaifa na kimataifa, ingawa zamani sana yalikuwa yakifanyika katika ngazi ya kirafiki na misaada hiyo inatakiwa kujulikana kama swala la kikarimu nah ii ni sheria ya zamani sana ya sifa za wanamason.
Majukumu ya kikarimu ya freemason yanahusisha
·         Ujenzi wa makazi yaaani nyumba na kulea watoto yatima
·         Kutoa elimu kwa wat wote kwa familia za wanamason na wasio
·         Msaada wa kimadawa na kimatibabu
Utaratibu wa tambuzi zaa watoto wa ki freemason (Chip) Masonic Child Identification Programs
Kwa ujumla kuna maelfu ya makundi na mashirika ya kifreemason duniani ambayo yameanzishwa na wana freemason ikiwemo hospitali maalumu kwaajili ya watoto zijulikanazo kwa ukarimu na wanamason wanavisaidia kwa uangalizi makini, wanatoa huduma za utafiti wa tiba na mashirika ya kihuduma.
SIFA ZA UANACHAMA.
Ni muhimu kufahamu kuwa kinyume na wat wanavyofikiri Freemason kujiunga sio kwa kualikwa tu  kwa ujumla kuna hatu anyingi na wanachama hawapaswi wala hawaruhusiwi kumuuliza mtu kujiunga ni w3anachama wachache wenye digriii kadhaa tu wanaruhusiwa kuwaambia wengine kujiunga na sio kila mwanachama ingawaje mwanachama anapotaka kujiunga atapewa maelezo na hatua za kiofiosi zitaanza na ndugu aliyakualika watatakiwa kukufanyia uchunguzi kuhakikisha kuwa una tabia nzuri, na unauwezo wa kutunza siri na kasha utapigiwa kura  na ikiwa kura tatu au mbili zitakukataa hutatakiwa kujiunga
Sifa za ujumla za uanachama.
Ili mtu akubaliwe kuwa mwanachama wa Freemason anapaswa kuwa na sifa zifuatazo
·         Lazima uwe umekuja kwa hiyari yako mwenyewe
·         Lazima uwe unamwamini mungu aina ya Mungu na tafasiri yake inabaki kuwa haki yako
·         Lazima uwe na umri kati ya miaka 18 – 25 miaka ambayo unapaswa kuwa unajitegemea kisheria ni wana wa wanamason tu (Lewis) wanaotakiwa kujiunga wakiwa chini ya umri huo
·         Lazima uwe na maadili mazuri na tabia nzuri.
·         Lazima uwe na akili safi na afya.
·         Lazima uwe mzaliwa huru yaani asiyetoka katika familia ya kitumwa ingawa baadhi wameondoa sheria hii
·         Uwe mwenye tabia ya kuwa tayari kujengeka kama ilivyo kwa wanamason wengine
·         Baadhi ya vyama vina sheria kama hizi na zaidi na wakati mwingine mwanachama mpya huwa na muda wa kuwamo kwa miezi sita ndipo anapoweza kukubalika.
Hata pamoja na kukubaliwa mwanachama anaweza kukataa uanachama kama anataka kufanya hivyo na wakai mwingine mwanachama anaweza kufukuzwa uanachama kutokana na sababu Fulani.
Uanachama na dini
Kwa ujumla freemason wanakubali kila hali uwe una dini uwe hauna kwani waoa hawana Mungu maalumu wala hawana jina maalumu la mungu wao hii ni kwa kila tawi la kifreemason na mara nyingi wanataka kila mwanachama kuamini katika mungu mkuu lakini tafasiri inabaki kuwa somo la mwanachama kwa hivyo wanakubalika wanaume wote wa kibudha, Kikristo, Kihindu, Kiislamu, Kiyahudi, Kisikhiism na kwa sababu hizo freemason hutumia Kitabu maalumu cha sheria takatifu kiitwacho Volume of Sacred Law (VSL) kama kitabu chao cha kidini na kitabu hiki hutakiwa kuwako madhabahuni kwao na mwanachama anaweza kuchagua kuja na kitabu chake hilo ni chagua lake.
Mnamo karne ya 19 kwa mujibu wa sheriaza kijadi za freemason vitabu ambavyo pia havizungumzii mungu mkuu wala fundisho lake viliongezwa mfano ni Baruk, Spinoza, John Wolfgang von Goethe au the Ultemate Cosmic Oneness Atheistic Idealism na agnosticism Baadhi ya Freemason wa kiscandnavia  na Sweden  wanakubali vitabu ya Kikristo tu.
WANAWAKE NA FREEMASON.
Tangu kupitishwa kwa sheria ya Anderson's constitution ya 1723 imakuwa ikikubalika kwa uweli katika sheria za kimason kuwa ni wanaume tu wanaoweza kuwa Freemason, nyingi ya matawi hayakubali kabisa wanawake kuwa wanachama kwani itaharibu kabisa uhusiano na tamaduni za zamani zaidi, Baadhi ya wanawake wachache kama Elizabeth Aldworth walikubaliwa na huko uingereza mwaka 1723 lakin hata leo wanaosajiliwa kiofisi ni Freemason ambao ni wanaume tu.
Wakati ambapo wanawake hawaruhusiwi kujiunga na freemason lakini katika mipaka ya Marekani wanawake wengi wanafuata utaratibu wa kawaida wa freemason na wana vyama kama Order of the Eastern Star, Order of the Amaranth Msikiti mweupe wa Yerusalem, the Social Order Beauceant na Daughters of the Nile hawa wana utaratibu wao na sheria zao za kitamaduni za asili na zimeundwa katika mumo wa ki freemason na Huko Ufaransa wanawake mnamo karne ya 18 na 19  wanawake walipitishwa katika kile kinachoitwa “adoption lodges” ambako wangeweza  kushiriki maswala Fulani ya msingi katika maisha Ingawaje wanaume walioa kuwa utaratibu huo wa ki freemason ni wazi kuwa unatofautiana na ule wa wanaume, lakini kuanzia karne ya 19 kwa huko ufaransa kumekuwako na mikutano ya mchanganyiko wa wanaume na wanawake.
Lakini ni muhimu ikafahamika kuwa hakuna mfumo wowote wa ki freemason unaokubali mchanganyiko huo wa kifreemason yaani kuingiza wanawake ingawa hao wanaokubali huitwa Co-Freemasonry na mikutano yao ya kimataifa ilianza huko ufaransa mnamo 1882 lakini katika siku za karibuni wanawake wameunda mfumo wao na muundo wao wa vyama vyao wakifanya kazi sawa na zile za wanaume na wanaendelea kuwa na wanachama wao.
UPINZANI DHIDI YA NA KUKOSOLEWA KWA FREE MASONS.
Kwa ujula watu wanaopingana na mtazamo wa kifreemason huitwa Anti – Freemasonry   wamekuweko inagwa hakuna chama au mkumbo wowote ambao umeundwa rasimi kupinga freemason, wapinzani wa freemason wako katika mitazamo tofauti tofauti kulingana na mitazamo tofauti tofauti ingawa kutoka katika makndi hay ohayo kuna wanaojiunga na kuukaribisha u freemason, wapinzani ni pamoja na makundi ya kidini, kisiasa na wenye mitazamo tofauti na njia zao.
Ingwa kutoka karne ya kumi na nane kumekuweko na kuwekwa wazi kwa maswala kadhaa ya kifree mason mengi yametolewa kwa sababu mbalimbali na hayana uhakika sana na wakati mwingine mtazamo unatokana na mtazamo wa mwandishi na kisha maandishi hayo ndio hutokea kuwa vyanzo vya watu wengi wanaopingana na freemason
Upinzani wa kidini.
Kwan chi nyingi zinazoongozwa kidini freemason wamekuwa wakikataliwa na kukosolewa kuwa ni wenye kujihusisha na maswala ya kichawi na nguvu za giza na uovu.
Ukristo na Freemason.
Ingawa freemason ina wanachama wa imani tofauti tofauti hata hivyo wa madehebu tofauti tofauti yakiwemo ya Kikristo, bado wamekuwa wakipingwa kwa viwango vya juu na kuonekana kuwa wenye njia tofauti tangu mwanzo dhehebu la kikristo ambalo kwa muda mrefu limekuwa likipingana na freemason ni pamoja na Roman Catholic Church. Na upinzani mkuu ni kuwa freemason wanafundisha mungu wa asili na dini ya asili tofauti na fundisho la kikatoliki, Papa Clement wa 12 alitoa tamko mnamo 28 April 1738 na tamko hilo lilitamkwa tena na Papa Leo 13 mnamo 15 October 1917 akitamka wazi kuwa freemason wamejitenga wenyewe na sio sehemu ya kanisa na 1917 katika sheria na kanuni za Kanisa ilikatazwa kabisa kufanya urafiki na freemason. Mwaka 1983 Kanisa lilirudia tena katika kanuni zake kukataza wakisisitiza kuwa Freemason ni jamii ya siri na imelaaniwa ilisisitiza kwa mtu anayejiunga  na kuwa na mipango kinyume na kanisa anapaswa kushughulikiwa na kuhukumiwa kwa kutengwa kutokushiriki meza ya bwana ingawa wako wanaofikiri kuwa kule kukatazwa kwa wakatoliki kujinga na freemason ni kama kumepunguzwa makali  hususani hasa baada ya mtazamo wa kihuria wa Vatican II, ingawaje iliwekwa wazi na Cardinal Joseph Ratzinger ambaye amekuwa Papa wa sasa anayeitwa Benedict wa 16. Kama kiongozi wa maswala ya imani wa siku nyingi  alisema kuwa mtazamo wa Kikatoliki kuhusu Feemason utabakia uleule kwani njia ya ki freemason inaonekana wazi kupingana na fundisho la Kanisa na hivyo kila anayejiunga anajulikana kuwa amefanya dhambi ya kutisha  na hatapokea Ushirika mtakatifu kwa hivyo kwa Mtazamo wa juu juu wa kikatoliki wanapingana na freemason Lakini kwa Upande wao Freemason wanadai kuwa wanadai kuwa wao sio dini na sio mbadala wa kanisa wala hawajaja kuondoa dini ya mtu na ni watii kwa sheria za kitaifa za kila taifa.
Tofauti na wakatoliki kwa waprotestant mtazamo wao kuhusu freemason ni wa tofauti na unakataliwa zaidi kwani wao  wanawaona freemason kuwa ni wenye siri, wachawi na waabudu shetani na Albert Pike  mmoja ya wasomi wa Kifreemason alinukuliwa akisema wale waopinga freemason ni wale wasio na mamlaka wala nafasi kwa freemason na wako kinyume na freemason. Kiongozi mwanzilishi wa Free Methodist Church Bwana B.T. Roberts alikuwa mnenaji na mpizani wa freemason kati ya miaka ya kati ya karn ya 19  alipinga mwenedno na maadili yao akisema “ mungu wa freemasn sio Mungu wa Biblia” aliamini kuwa freemason ni wasiri na wazushi na alilitia kanisa moyo wa kuokuwaamini hata kidogo na aliwaambia kanisa lake wasiwasaidie wahubiri ambao ni wanachama wa freemason kwani ni jami ya siri, Hata hivyo siri ya jamii hiyo ya siri ni uhuru yaani Frees na kwa hiyo hata kanisa aliloliunda  yaani Free Methodist church limejengwa katika msingi wa Freemason alijibiwa.
Tangu kuundwa kwa Freemason ni wazi kuwa Maaskofu wote wa Kanisa la uingereza yang Chuch of England Anglican wamekuwa ni freemason miongoni mwao ni pamoja na Archbishop Geoffrey Fisher na baadhi ya wanachama wa kanisa hilo ni wanachama wa freemason  na kwa miaka ya hivi karibuni wanachama wengi sana wa kanisa Anglican wamejiunga na freemason na hivi karibuni kutokana na kukua kwa kasi ya kiinjili askofu  wa anlican Archbishop of Canterbury, Dr Rowan Williams  ameonekana kukataa baadhi ya vitendo vya Freemason na kwa kuhofu kuwaudhi watu walio nje na ndani mwaka 2003 aliomba radhi kwa Freemason uingereza baada ya kusema kuwa imani yao haitofautiani na ukristo na alipewa nafasi ya juu a Ufreemason  katika dayosisi aliyokuweko alipokuwa  Askofu wa Monmouth.
  Mwaka 1993 kanisa la Othodox la Ugiriki Orthodox Church of Greece walitamka kuwa kuwa mwana freemason ni ukengeufu! Na ni mpaka mtu atubu ndipo inaweza kuwa vinginevyo. Mwana freemason haruhusiwi kushiriki meza ya bwana  nah ii imepitishwa kwa waothodox wote na wanakubaliana na wakatoliki na waprotestan  wanaopingana na freemason na kusema wazi kuwa hawawezi kuwa wakristo huku wakiwa na ushirika ulio wa siri na unaotenda kazi kwa mafundisho yaliyo siri na maswala yasiyoeleweka, lakini pamoja na madai haya wao hudai kuiwa Freemason sio dini na wala sio dini mbadala na hauna Mungu mmoja maalumu alityetengwa kwaajili ya freemason  wala jina la Mungu wa freemason ingawa katika miaka ya hivi karibuni kuna tofauti kwani knaanza kujitokeza hali maalumu zifunuazo wazi kuwa freemason wanamuabudu nani.


Uislam na freemason
Upinzani wa uislamu kuhusu Freemason unaweza kuwa na mtazamo tofauti na ule wa Kikristo wao wanaona kuwa freemason wako kwaajili ya kuwasaidia wayahudi na wako tayari hata kujenga tena Hekalu la Sulemani huko Yerusalem baada ya kuubomoa msikiti wa Al-Aqsa ulioko sasa, Katika andiko namba 28 ya agano lake Hamasi wanawataja freemason, Rotary na makundi mengine kuwa wanafanya kazi kwaajili ya Usayuni Zionism na kulingana na maelekezo ya kisayuni, aidha nchi nyingi za kiislamu hawaruhuru kabisa kuanzishwa kwa Mason  katika nchi zao ingawa inchi kama Uturuki, Moroko, malayshia na Lebanon Kuna matawi ya freemason, Huko Pakistan Freemason wamekuwako tangu 1972 lakini Zulfiqar Ali Butho waziri mkuu wa Pakstan alitaka kuondolewa na kukomeshwa kwa maandishi na vikundi vya freemason, Mason wako Iraq tangu miaka ya 1919 ambapo Uingereza ilifungua huko Barsa  na baadaye wakati nchi ilipokuwa chini ya mwingereza  Baada ya vita vya kwanza vya dunia  ingawa mwaka 1958 baadaya mapinduzi ya utawala wa kifalme  chini ya General Qasim  Iraq ilipopata uhuru wake, Kibali kilitolewa lakini kiliharibiwa na Saddam Hussein na alikataza kabisa na kuamuru kuuawa kwa kila anaye kuza maswala ya kisayuni na Freemason ikiwemo na mashirika yanayohusiana nao.

Upinzani wa Kisiasa.

Kwa ujumla Freemason wana mfumo wao tofauti na wajibu ulio tafauti ikiwa ni pamoja na kuwa wakimya watu wa amani na raia wema na kuwa na serikali zinazozingatia usawa wa kisheria  katika kila taifa wanaloishi na hawapaswi kuwa waasi, Freemason anatakiwa kuwa na wajibu kabla ya kufikia ngazi ya kuwa Master kuhakikisha kuwa anakuwa na heshima kamili kwa maswala ya kisiasa na kiraia na hawapaswi kabisa kujihusisha na upinzani wa kisiasa na wakati wote wanapaswa kuhakikisha wana zuia kutokea kwa uasi Mwaka 1799 wanamason wa kiingereza walikuja kinyume na Tamko la Bunge la nchi hiyo kuhusu msimamo wake kwa Mapinduzi ya Kifaransa kwamba jamii yoyote isiyo ya kisheria hawaruhusiwi kukutana katika makundi na kuapa au kupeana wajibu na wakati huo aliyekuwa waziri mkuu William Pitt alipokea ufafanuzi kutoka kwa wanamason kuwa wao ni watunzaji wa amani na kuwa hawajihusishi na wavunja sheria wakati huo huo kumbuka kuwa Pitt hakuwa mwanachama wa freemason na kuwa hakuwa anajihusisha na maswala ya kuhudumia jamii na maswala ya kikarimu Matokeo yake ni kuwa mwaka 1967 bunge lilikubali wajibu wa freemason
Huko Marekani Freemason iliingia katika misuko suko wakati William Moran mwaka 1826 iliporipotiwa kuwa Morgana ana maswala na mpinzani wake Jacksonian  ambaye alikuwa mwaqnamason kuwa alisaidiwa na wapinzani wa mason kuwekewa mafuta kwenye gari zake za kampeni lakini tuhuma hizo zilidumu kwa muda mfupi na chama kisicho cha kimason kililishinda  uchaguzi wa rais mwaka 1828-1832

Huko Italy Freemason ilikuwa ni Scandal ikitumiwa kama propaganda  na kuna dhana kadhaa zinazohusishwa na freemason ikiwa na pamoja na kwamba freemason wanafikiriwa kuwa na njia au utaratibu mpa  wa kuuendesha ulimwengu New World Order  na pia huusishwa na kuweko kwa jeshi lao lijulikanalo kama Illuminati na inaaminika kuwa wao ndio wanaodhibiti ulimwengu na kuutawala na kuwa tayari hata sasa wanautawala ulimwengu katika mfumo huo mpya na mfumo wa kisiasa, Kihistoria freemason wamekuwa wakipokea shutuma mbalimbali na kuhusishwa na maswala ya kupita kawaida  ya wanazi wa Ujerumani walioua wayahudi wengi sana  na pia mifumo  ya kulia zaidi na kushoto zaidi  kama mifumo ya kikomonisti huko mahsariki ya ulaya na mingineyo,  pia wanahusika siasa za uhuru wa kidemokrasia unaopita kawaida liberal democracy  mfano siasa zilizoko huko Marekani. Na pia demokrasia ya leo.

Freemason pia wanafikiriwa kuwa ni wasioaminika kwani huko UK kwa mfano wanajiingiza katka maswala ya hukumu, majaji, maafisa wa polisi na kuanzia 1999 mpaka 2009 walitakiwa kuweka wazi uanachama wao na inapotokea kuwa bunge linataka kupitisha sheria Fulani aku kumuhukumu mtu aliyekosea freemason hupiga kura kumtetea mwanamason mwenzao na swala la kujitangaza kuwa kama unafanya kazi mahakamani na ni mwanachama wa freemason uweke wazi lilikomeshwa mwaka 2009
Freemason wamefanikiwa sana huko Ufaransa ingawa wanahabari wanawaandika vibaya katika baadhi ya nchi Mason wanafikiriwa kuwa ni walio kinyume na waarabu na kinyume na usayuni anti-Semitism and anti-Zionism kwa mfano huklo Iraq mwaka 1980 mfumo ulibadilishwa na Saddam Hussein kupitia chama tawala cha Baath ili kuinua kanuni za kisayuni ikiwemo freemason au wanaojiunga wenyewe na usayuni. Inaaminika kuwa hata mpango wa tukio la September 11 la shambulizi la Marekani lina mpango wa Freemaso wa kiulimwengu mason wanahusishwa na matukio mengi ya ajali na mauaji makubwa sana ambayo mengi ya hayo hutokea kati ya mwezi September na October
Kuhusishwa na mauaji ya Halaiki.
Kutokana na shirika la utafiti lijiitalo Reichssicherheitshauptamt  linasema katika utafiti wake inaonekana kuwa wanamason nao waliteseka sana chini ya uangalizi wa ProfessorFranz Six  na walihusika na maswala ya kuosha ubongo watu kwa kuunda propaganda kuwa mason waliuawa kati ya 80,000 na 200,000 chini ya wanazi na mason walifikiriwa kuwa ni wafungwa wa kisiasa na waliingizwa katika gereza liitwalo Pembe tatu nyekundu.
FREEMASON NCHINI TANZANIA.
Hapa Tanzania freemason wamekuweko nchini mapema kabisa kabla ya uhuru na makao yao makuu yako nyuma ya iliyokuwa Hotel maarufu ya Kilimanjaro mtaa uitwao sokoine drive na imesajiliwa na serikali ya Tanzania  na wanabaraka zote za serikali na wanaamini kuwa Mwalimu Nyerere aliifahamu freemason lakini hakuwa mwanachama wa freemason, Mkuu wa Freemason Hapa nchini  anajulikana kama Andy Chande  ambaye amejitokeza waziwazi katika mahojiano na Muhidin Isa Michuzi mwandishi wa gazeti la Sunday News la tarehe 3 pril 2005 Andy alikiri kuwa na wanachama zaidi ya 3,000 huku yeye akiwa District Grand Master alidai kuwa wanashirikiana kwa ukaribu na rais Yoweri Museveni, makamu wa Raisi wa Kenya Moody Awori na mstaafu rais wa Tanzania Ben Mkapa na mzee Mengi. alikiri kuwa kweli ukijiunga na freemason  huwezi kutoka tena
Jengo la Freemason lilioko Dar es Salaam nyuma ya Hotel ya Kilimanjaro limekuwako nchini kwa miaka 79 sasa na linajulikana wazi kwa jina la freemason Hall.
Markus Mpangala ana maoni haya alipokuwa akiwataadharisha Watanzania juu ya kuweko kwa Freemason ambao sasa wana miaka zaidi ya 79. Kama unadhani kizazi hiki kinachoabudu ibada za Kabballah (wayahudi) na chenye kujiona ni zaidi ya binadamu wengine, kwamba ni kidogo utakuwa unajidanganya. Kama unadhani kizazi hiki kinatoa misaada kwa watoto yatima, na watoto waishio katika mazingira magumu unajidanganya.

Kama unadhani kutembelea tovuti yao yenye kujipambaunua kwamba inasaidia jamii kwa kiasi kikubwa, basi unajilimbikizia ujuha. Kama unadhani Freemasonry wapo Dar es salaam pekee basi uko nyuma ya mshale wa saa unavyokwenda. Iwapo ulidhani huna ndugu ambaye anaajira za Freemasonry basi unaweza kujidanganya pia huku ukijigamba kwamba unazo pesa za ‘kumwaga’. Na kama unadhani kuna mfanyabiashara nchini ambaye anatoa sana misaada kwa jamii kwamba inatokana na mavuno yake, basi unajidanganya. Kama unaamini hutumii bidhaa za Freemasonry unajiongopea mwenyewe. Ni wakati wako wa kuchunguza kipi kipo wapi na nini kinaendelea nchini mwetu. Ziko pesa, bidhaa na mambo lukuki yenye nembo za Freemasons ambayo wewe unadhani ni muhimu katika maisha yako. Kifupi wametukamata.alisema mwandishi huyo mwenye vibweka katika tovuti yake akitoa maoni yake kuhusu freemason.alisema;-
Freemasons wasikudanganye kwamba wao ni imani za mwenyezi mungu ambaye amewatuma kuja kuwasaidia watu wenye dhiki. Kama ni hivyo basi tusingeliona utawala wa Marekani unakuwa wa Ki-Freemasons na kumaliza maisha ya Wairak, Wavietnam na kwingineko. Na walivyo na sura za upole na kuchukuliwa kama watoa misaada kwa watu masikini, basi tumewapa tiketi ya kuziingilia nyumba zetu watakavyo. Ndiyo ni miaka 79 sasa kizazi hiki cha shetani kinachoruhusu wanaume pekee kuingia humo. Umejiuliza kwanini wanawake hawakubaliki? Tafakari.
      Kwa taarifa yako kuna binadamu anaitwa Rockefeller anataka binadamu wote tuwekewe Microchip ili taarifa zetu zichukuliwe na satellite na kuziweka katika kompyuta moja. Wanataka kututawala kimwili sasa baada ya kufanikisha kututawala kiakili. Kama unadhani mfumo huu wa Microchip ni dhihaka, nakuachia kiungo hiki msomaji wangu mpendwa umfuatilie kiumbe huyu dhalimu;
 www.nexusmagazine.com/articles/rockefeller.html. ni kiumbe hatari kama ilivyokuwa kwa Adolf Hitler ambaye alikuwa kiumbe wao. Ni hawahawa sasa wamejipa mamlaka ya kila kitu katika tawala mbalimbali ikiwemo Tanzania. Na wametushika kwa mambo mengi sana, mara utasiki misaada ya kiutu, mara leo utasikia Vicoba (kuna mkono wa Freemasonry hapo), na mengineyo.
Freemasons wapo nchini Tanzania kwa miaka 79 sasa, wakiendesha shughuli zao na kuwapumbaza watu. Wanafanya hila zao kwa kudai kuwa ni watumishi wa mungu tusiyemuamini. Wanajieleza kwa umakini sana ili kutolipua siri zao. Soma maneno haya ambayo yalitamkwa na binadamu Sir Jayantilal Kashavji, ‘Once a Freemasons, always a Freemasons’. Inawezekana ikawa mgeni kwako, lakini ukitajiwa binadamu aitwaye Andy Chande siyo mgeni kwako. Nasadiki kwa dhati kabisa jina la pili limetoakana na kujiunga na Freemasonry. Tunaambiwa ndani ya miaka 79 kipenzi chetu Mwalimu Nyerere alijua uwepo wao, lakini unaweza kujiuliza swali kwani imesemwa wakati yeye amekwisha kufariki? Na inaelezwa kuwa Mwalimu hakuwa Freemasonry (sijui angelikuwa hai angelisemaje). Kwa maneno yao wenyewe wanajigamba kwa kusema ‘Freemasons is natural or Instictive fellowship between people of similar interest’. Inawezekana maneno haya yasiwe na maana kwako, lakini kuna swali jepesi moja tu. Je wanawake hawana ‘similar interest’ na Freemasonry (wanaume)?
Maneno yote ninayokupa ndugu msomaji sijatunga, na wala mimi siyo mtungaji wa makala hizi, bali mtafiti. Sitafiti kisha niandike bali nilikwisha kufanya hilo na ninaendelea ndiyo maana nakupa viungo kadhaa ujipe nafasi zaidi. Mnamo April 3, 2005 Sir Jayantilal Kashavji au Andy Chande alifanya mahojiano na mwandishi mwandamizi Muhidin Michuzi. Msomaji mahojiano hayo yapo katika gazeti la Sunday News la April 3, 2005. Kuna maswali zaidi ya 100 ambayo ninaweza kuyauliza tokana na majibu ya mheshimiwa huyo. Lakini swali langu la msingi ningelimwuliza kutokana na maneno yake haya; ‘I joined Freemasons 1954. However it took me two years to complete the processes. Kwamba licha ya kujiunga na Freemasons, ilimchukua miaka miwili kumaliza taratibu zote. ‘Taratibu’ zipi hizo iwapo ni jumuiya inayosadiki mungu?
Yaani nikiamua kujiunga na dini mojawapo sasa kati ya Ukristo au Uislamu toka Uafrika wangu, nichukue miaka miwili kumaliza ‘taratibu zote’? Ni taratibu gani mlizopewa enyi kizazi cha nyoka? Kizazi kilichovamia na kufanya mauaji huko Iraq na kuwaua wale wasiokuwa wanachama wao.
Sir Jayantalal Kashavji au J.K Chande au Andy Chande anatanabaisha kuwa kuwa Freemasons ni jumuiya iliyopo chini ya utawala wa United Grand Lodge ya Uingereza na Wales (soma Sunday News la April 3, 2005). Hakukuwa na jipya sana katika majibu yake kwani inaonekana kulikuwa na ujuvi wa pande mbili kabla na baada ya mahojiano. Tunafahamu kuwa uzinduzi wa Freemasons ulifanyika chini ya utawala wa Rais Benjamini Mkapa, je kuna uhusiano gani kati ya kizazi hicho na uanzishwaji wa Bank M? funua akili yako!

District Grand Master Jayantalal Kashavji alituhabarisha kuwa ameongoza Freemasons kwa miaka 50 na ameamua kustaafu. Ukitaka kumfahamu bosi mpya wa Freemasons Tanzania nakuachia kiungo hiki; http;//www.ippmedia.com/guardian.2006/10/27/77236.html. Na kwa wale wasomaji ambao hawana muda wa kutembelea mtandaoni, nakutaka usome gazeti la Guardian la tarehe 27/10/2006 (uk 4) habari iliripotiwa na Judica Tarimo. Hata hivyo wale wanaokubaliana nami, basi wafahamu kuwa bosi huyo ni Suryakant Ramji, msaidizi wake ni Tanna Sreekumar. Na bosi wa eneo lote la afrika mashariki (yaani Tanzania, Uganda, Kenya na Shelisheli ni Dr Vilendra Talwar). Freemasonry wanawanachama zaidi ya milioni 5 hadi mwaka 2005, kizazi hiki cha nyoka kilianza mwaka karne ya 13. Na kwa Tanzania makao makuu yao ipo mitaa ya Sokoine (Sokoine Drive) mkabala hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es salaam. Vituko na ibada hizo za kishetani haziko Dar es salaam pekee, huko Arusha zimejazana na historia yake iko wazi wazi. Nitaeleza. Mnamo Julai 14, 2001 kulifanyika kikao cha Ki-freemasons Mount Meru Lodge. Awali makao hayo yalipewa namba ya usajili 5363 kati ya mwaka 1932, lakini uanachama wake ulishamiri zaidi kulipoibuliwa vita ya pili ya dunia. Ndugu msomaji vita hiyo siyo kama tunavyodanganywa katika mashule yetu, kwani wenyewe wanaelewa ninachomaanisha hapa.
Huku vita hivyo vikiendelea, usajili wa ngome mpya za Freemasons ulikuwa ukifanywa. Na Arusha ilikwisha kupata namba ya awali (tazama hapo juu). Hivyo tangu mwaka 1957 Mount Meru Lodge ikapewa namba 7504. Ambapo kikao chao cha awali kilifanyika Kilimanjaro Lodge ya ki-freemasons No. 5111 mjini Moshi. Kuna wamiliki wa Televisheni, na matajiri wakubwa ambao wanaabudu ibada za kishetani. Wanatumia utajiri huo kuwafumba watu kuwa wao wanasaidia jamii. Wanahadhi kubwa mbele ya watawala wetu, wanaheshimika mbele ya mawakala wa CIA (ambao ni mabalozi tulionao).

Wapo wanaounga mkono u-freemasons Tanzania huku wakiwa wanachama; Dr Edward Tenner (mgunduzi wa Vaccination), Dr William Mayo na Charles Mayo (waanzilishi wa kliniki ya moyo Marekani). Mwanzilishi wa taifa la Uturuki Jenerali Mustafa Kamal Atatuk, Mchungaji William Booth (mwanzilishi wa Salvation Army-jeshi la wokovu). Wengine Padre Francisco Calvo (Padre wa kikatoliki aliyeanzisha Freemasonry huko Costa Rica mwaka 1865), Mchungaji Jesse Jackson (mwanzilishi wa Rainbow Coalition), Aga Khan (Kiongozi wa madhehebu ya Ismailia) 1877-1957. Lakini swali linasalia kuhusu Aga Khan III(je ni mwendelezo wa freemasonry?).
Yupo Thomas Watson! Humfahamu huyu? Unaweza kuitazama kompyuta yako ndugu msomaji, kama imeandikwa IBM huyu ndiye mwanzilishi. Kuna J. Edgar Hoover (mkurugenzi wa FBI). Hapa nikuachie kiungo hiki msomaji; http;//calodges.org/no406.famasons.htm. Usidanganyike kuwa kizazi hiki kinahubiri dini za mwenyezi mungu unazozijua, na wenyewe wanadai hakuna majadiliano kuhusu dini.

Aliyemfunga paka Kengele Hapa Tanzania na kuwafumbua macho watanzania ni mnajimu maarufu marehemu Yahaya Huseein ambaye naye anaaminika alikuwa mwanachama tena mwenye digrii 32 yeye katika vipindi vyake aliweka wazi kuwa freemason ni chama cha kichawi na kuwa kinategemewa na watu wakubwa wengi na maarufu katika kuwafanikisha mambo yao alisema wao huamua nani ashike madaraka katika taifa lolote na humuondoa kila anayekiuka mashariti yao, watu wengi maarufu ni freemason wakiwamo wanamuziki maarufu, wahubiri , matajiri na wanasiasa, wengi huko marekani walionekana kutumia alama za kusalimiana au kuweka pozi la alama hizo za kishetani na ambapo Yahya aliweka wazi na Magazeti yaliandika  kama uonavyoweza kuona Kopi hii ya Gazeti.


Sheikh Yahya aliweka wazi kuwa dini hii ya freemason ni dini ya kichawi kabisa na kuwa Mungu wake ni Lucifer na kuwa alama yao kuu ni Pembe za Mbuzi, Pembe tatu, square na mwenge alama hizo huweza kuwekwa katika milango minara majengo mavazi na nembo mbalimbali za bidhaa na kuwa ni vigumu kuepuka kukumbana nao katika semhemu moja au nyingine
Kushoto ni picha ya Mungu wa Freemason Lucifer yaani shetani kama ilivyoelezwa na marehemu Yahya Hussein Akifafanua zaidi, mnajimu huyo alisema alama hizo zinawekwa kwenye noti, minara, nembo mbalimbali katika nchi tofauti bila wenyewe kujua au wakati mwingine wakiwa wanajua.

“Majengo mengi ya bunge Yana minara juu kwa mfano hili la kwetu jipya pale Dodoma, au katika majengo ya mabunge ya Kenya, Ujerumani, Marekani, Canada, Romania, Hungary na Uingereza ambalo lina minara mingi sana, je mmewahi kuuliza kwanini yanajengwa hivyo?” Alihoji mnajimu huyo. Alisema alama ya Freemasons ya nyoka inatumika katika taasisi nyingi za ndani ya nchi au za kimataifa, akatoa mfano wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na hata katika noti ya Tanzania ya shilingi mia tano.

“Kwenye noti alama za Freemasons zipo nyingi kwa mfano Dola za Kimarekani zina alama ya nyota na hata katika noti zetu hapa nyumbani ipo, imewekwa kitaalamu sana katika noti ya shilingi mia tano,” alisema.

Alipoulizwa kama Freemasons inahusika na dini ya mashetani, mnajimu huyo alisema anavyofahamu ni kuwa asili yao ni taasisi nyingine iliyokuwa ikiitwa Skull and Bones (Fuvu na Mifupa) ambayo ilikuwa ikiabudu mashetani na kutoa kafara ya damu. Hili tunalisema kwani hata Babu yake Rais wa zamani wa Marekani, George Bushi aitwae Peasscot S. Bush aliyezaliwa mwaka 1895 na kufa 1972 alikuwa mwanachama, mnaweza kupata haya katika mitandao mbalimbali, siyo siri,” alifafanua na kuongeza kuwa Freemasons ina wanachama matajiri na kwamba ni nadra sana kukuta mlalahoi.
JINSI YA KUJIUNGA NA FREE MASON
Si makusudi yangu kukuonyesha jinsi ya kujiunga na freemason kwa sababu nimekwisha kubainisha kuwa ni mtandao tata ambao uko kinyume na maswala ya Mungu wa kweli lakini katika somo hili jinsi ya kujiunga na freemason kusudi kubwa ni kuangalia namna watu wanavyojiunga na freemason na pia kujifunza semi zao wanapokuwa wakitaka ujiunge
Mwanachama mpya hushauriwa kutafuta Masonic lodge iliyopkaribu nawe na kuwasiliana nao na kueleza nia yako ya kujiunga
Inatiwa moyo kuwa unapokuwa umejiunga utakuwa umejiunga na familia kubwa nay a zamani sana ya watu wenye nia zinazofanana Duniani “The Oldest and largest fraternity in the world” aidha utakuwa umejiunga na ndugu zaidi ya 2,000,000 kutoka kila jamii na rangi na dini na taifa na kila kitembeacho duniani kwa maisha
Kwanini watu wengi hujiunga na freemason?
Freemansonry ni ya hiyari na kujitoa,ni chama cha kindugu kinachounganisha wanaume wenye mapenzi mema na tabia njema na maadili na wanaotetea haki kila mahali duniani na wanaomwamini Mungu mwenyezi muumba wa mbingu na ardhi na wanaopenda kuendeleza roho ya umoja na undugu kwa wanadamu
Watu watii kwa taifa lao na wanaojitoa wakati wote katika kanuni za urafiki na umoja na ushirikiano na lengo lao kuu ni kulenga kuihudumia jamii, kwa wanaume wengi freemason itatimiza sehemu ya ndoto zao zinazoonekana kutoweka, kwa namna iwayo yote katika jamii, falsafa, kiroho, kihistoria na kadhalika kwa ufupi maswala yote yahusuyo jamii utakutana na freemason na kutimiza sehemu ya kile unachokitafuta
Kama ninajiunga na freemason nini hasa mpango wao Mission?
Freemason wana mpango wa kujenga dunia iliyo bora “Better World” katika njia ya kipekee na inayostahili na kuandaa wanaume wema kuishi katika ulimwengu huo usemi mkuu wa Freemason ni “Wanaume wema hufanya dunia njema” Better men make a better world.
Kanuni gani nitakazojifunza?
Utajifunza kutendea kazi swala la kuwapenda watu kwa njia zote, ukarimu kwa watu wenye uhitaji, maadili na kuwa raia mwema katika kila jamii. Freemason ni wajenzi wa ukarimu, upendo,elimu na wenye kujenga maadili. Swala kuu zaidi ni kuwa watendaji katika swala la undugu wa wanaume chini ya Ubaba wa Mungu.
Elimu katika Nyanja ya Kifreemason.
Wanamason wanalenga kutoa elimu katika Nyanja mbalimbali na kukufanya uwe mtaalamu mzamivu Master katika shahada za freemason, kwa msingi huo freemason wanatia moyo na kusaidia jamii kupata elimu na pia inafundisha wanachama wake maadili na undugu kwa kutumia njia za sherehe na Ishara au alama
Jamii.
Mason inatoa fursa ya undugu na nafasi sahii na kuchochea au kutia moyo wanaume kukusanyika katika makundi na kufurahi na kuendeleza utu
Kujenga sifa.
Wanamason wote wanapaswa kuwajibika na kuwa na bidii katika mkazo wa uthamani wa utu na utakatifu na kutimiza wajibu kila mwana mason anayefikia digree ya tatu katika shirika lake anapandishwa daraja na kuwa Master Mason kila mwanachama anapaswa kuwa na bidii kuiendeleza jamii katika maswala yote yanayohusu ustawi wa mwanadamu, kuhamasisha jamii kuwa na hisia za ukarimu na mapenzi mema kwa wanadamu wote ikiwa ni pamoja na kutafasiri kanuni tunazojifunza na kuwa na ushawishi kivitendo.
Nitajifunza nini nikiwa Freemason?
Utajifunza Historia ya Biblia kutoka katika wakati wa siku za Hekalu la Suleman, kupitia miaka ya kati huko ulaya, mitazamo ya kimason na lodges zake  na jinsi zilivyoundwa katika kila Taifa, utajifunza tarehe sahii kabisa za matukio ya kihistoria na matuki ambayo ni vigumu sana kuyagundua hata ingawa rekodi za kifreemason zinaonyesha kuwa Lodge kadhaa zilivyoundwa mfano Uingereza ni 1717, Ireland ni 1725,Ufaransa ni 1728m Marekani ni 1730 na Scotland ni 1736 sasa utakapokuwa unasoma maandiko matajatifu mwisho hatimaye utagundua na kuona yakiwa hai kwako na watu halisi na kufanikiwa kwao na kushindwa kwao, utajifunza kuhusu kweli za Kibiblia na Fundi(Mhandisi) mkuu wa Ulimwengu  kama Bwana wako Master. Kujiunga na freemason ni hiyari na unaweza kujiunga kama unapenda kwa kutaka kwako mwenyewe inaezekana pia ukawa umealikwa lakini utachunguzwa na utaangaliwa historia yako na kasha utapewa kadi au utapigiwa kura na ndugu walio katika lodge husika
Kama nitajiunga na Freemason Nitajifunza siri za freemason na siri za Lodge nitakayojiunga nayo?
Ndio utajifunza lakini kama kusudi lako kuu ni kujua siri za freemason makusudio yako yatazimishwa mara moja, hapa nibaadhi ya siri za Freemason ni Kushika, namba za siri, ishara za maonyo na ishara za kiibada za kipekee.Kukumbuka namna ya kutoa mikono au kupunga mkono kwa kifreemason kupitia alama zinazoelekezwa katika vitabu vitakatifu vilivyoko kote duniani na kitabu kiitwacho Old Charges ambacho ni maandiko ya zamani sana na Old lodge Characters ambacho kina wakati wa nyuma zaidi ya 1390 na vitabu vya freemason kwa ujumla kama unataka kuwa mwana freemason njia iliyo rahisi kujifunza kuhusu freemason ni kusoma habari zao kwenye mtandao.
Nasikia na kusoma kuwa Free mason ni ya Kishetani na ina maswala ya kipagani na mpango wao ni kujenga mfumo mpya wa ulimwengu yaani New World Oder na kumiliki ulimwengu mzima je kuna ukweli?
Hapana hebu fikiria kuwa kwa muda mrefu freemason imekuweko na siku zinaenda na kubadilika ka miaka maelfu tangu freemason ilipoanza je tumemiliki Ulimwengu? Kama freemason wangekuwa na mpango huo je kwa miaka kama 300 tu je tusingelikamilisha mpango huo? Na mtu anaweza kujijibu mwenyewe kwa kutumika akili ya kawaida kwa kuhitimisha kuwa je hizo siri za freemason zinafichwaje kwa wanamason na wasio wana mason kwa miaka tangu nyakati hizo na je mpango huo usingelifanikiwa hata leo?
Je Freemason ni jamii ya siri?
Kwa ujumla freemason wamerithi sherehe kubwa ambazo ziliadhimishwa tangu zamani, mason wanakutana katika mahekalu yao na kumbi mbalimbali na anuani zao zinapatikana katika vitabu vya simu vya Marekani, ingawa inawezas kuwa ngumu kupiga simu ikapokelewa kwa sababu hukutana mara mbili tu kwa mwezi kwa msingi huo unaweza usimpate mtu hapo, Masonic wengi wanajivunia kuvaa Pete maalumu za kimason na cheni lapel pins, kwa msingi huo kama unafikiri kujiunga na undugu huu na kuwa Mastermason itakuwa manufaa kwako kama utajifunza sababu za kwanini uvae pete za kimason au alama zenye logo za freemason za squqre na campasses, wengi wa wanachama huweka alama za freemason katika magari yao au alama maarufu “2B1Ask1” yaani to be one ask one bumper sticker. Yaani stika zinazohusu ili kuwa mtu Fulani muulize Fulani.
Magazeti na majarida yanaandika kwa uwazi kuhusu maswala ya freemason na maofisa wake na shughuli zao za kikarimu na matukio huwa yanatangazwa hadharani na huudhuriwa sana, kila tawi lianlodge yake
Je freemason wanapingana na imani ya Ukristo?
HAPANA
Je Freemason ni Dini?
Hapana Freemason inawaalika watu wa kila dini na ina wanachama wa dini zote au kutoka katika dini zote ulimwenguni
Je itanipasa kubadili dini nikiwa freemason? Hapana hata kidogo Freemason lengo lake ni undugu wa wanadamu chini ya Ubaba wa Mungu na ni wale tu wanaoshika dini kwelikweli wanaoweza kuelewa maana ya Undugu duniani, isipokuwa katika lodge nyingine ni wale tu wanaomwamini Mungu mkuu wanaoweza kuwa wanachama wa Mason lakini kwa ujumla hakuna dini maalumu inatajwa na Mason katika sherehe zetu au maombi yetu.Freemason sio Kanisa, Hekalu wala msikiti wala sinagogi wala sio mbadala wa maswala ya kidini na kuabudu. Freemason sio dhehebu wala haina undugu na dini yoyote swala la mtu na imani yeke ni lake mwenyewe kwa ujumla wengi wa wanachama wa freemason ni wenye dini zao na waaminifu katika dini zao Huko Marekani katika badhi ya lodge wanatumia Biblia ingawa kama unatoka katika imani nyingine basi unaweza kuagizia kitabu chako kitakatifu kama Torat, Veda, uran na kadhalika na ama lodge ina wanachama wafananao basi inaweza kukubaliana kutumia kitabu chao kitakatifu.
Je Biblia ya kifreemason ni tofauti na Biblia ya kawaida iliyoko sokoni leo?
Hapana Ingawa Biblia ya kimason ina kurasa ambazo zimejaa rekodi ya tarehe za muhusika akipokea degree ikiwa ni pamoja na muongozo wa kuisoma kumsaidia muhusika kuelewa vifungu fulani na Ishara na alama zitumiwazo na freemason na mistari ya aya za kibiblia zitumiwazo na Freemason.
Je freemason ni kikundi cha Kisiasa?
Hapana kwakweli wanasiasa na watu wa dini hawatiwi moyo kutajwa katika makutano kwa sababu ya mitazamo tofauti inayoweza kuibuka na kuondoa amani naroho ya umoja wa Kindugu ulimwenguni Freemason ni udugu unaojaribu kutimiza mpango wa Mungu na kusaidia kila mwanaume kuwa mwema kadiri iwezekanavyo katika lugha tofauti na Mungu anajulikana kwa majina tofauti tofauti na anaweza kuitwa Mungu, Allah, Jehovah, YHWH, Niko ambaye Niko na mengineyo
Je naweza kuachana na freemason kama nataka?
Mwanamason yeyote katika mtazamo mwema ambaye ana muda usiozidi mwaka anaweza kujitoa wakati wowote kutoka katika uanachama.
Sifa zinazohitajika ili kuwa Freemason.
·         Uwe mwanamume mwenye mwenendo mwema.
·         Kwa kule Marekani unapaswa kuwa na miaka 21
·         Lazima uwe unamwamini Mungu
·         Uwe unajitegemea na unaitegemeza Familia yako
·         Unapaswa kuishi maisha yaliyo na madili mema na yanayokubalika duniani
·         Lazima uwe na shauku ya kutaka kuibadilisha dunia kwa matendo yako, huku na wewe ukiwa mtu mwema na jamii yako ukiifanya njema na kuufanya ulimwengu kuwa mahalipazuri pa kuishi
Je kuna malipo natakiwa kulipa ninapokuwa freemason?
Inategemea lodge zinatofautiana kulingana na kila eneo na aina zake kuna ada utalipa lakini baadhi ni ghali sana na baadhi ni kawaida hii inategemea na mfumo wa lodge uliyojiunga nyingine ni majina tu sio lazima ulipe
Nitafaidika nini nikiwa Freemason?
1.      Kwa kweli hutakuwa peke yako tena kwa sababu utakuwa na ndugu wanaume ambao wanataka kukuona unafanikiwa katika njia zako zote kwa namna yoyote ile na kama iko katika uwezo wao watakusaidia
2.      Utajifunza kuwekeza nguvu zako katika maswala ya haki na usawa na kweli katika maisha na kuondoa hali zote zilizo kinyume cha ziada ambacho watu wote wanapaswa kukipinga
3.      Utakuwa mtu mzuri na hasa kama unataka kusoma na kujifunza
Jinsi ya kuwa Mwana mason
1.      Tafuta anuani za simu kama uko Mraekani, au jiunge kwa kutembelea lodge iliyokaribu nawe kwa simu inaweza kuwa ngumu sana kwa sababu hukutana mara mbili kwa mwezi hivyo unaweza kukosa mpokeaji
2.      Kama utamuona mtu mwenye stika katika Bumper ya gari isemayo “2B1Ask1” unaweza kumuuliza huyo na kumuomba anaweza asiwe na form za kujiunga lakini kama utampa simu namba na anuani zako atakutafuta na kukuunganisha na mtu atakayekufuatilia.
3.      Lakini njia iliyo rahisi zaidi ni kuonana na lodge iliyoko katika nchi yako na unaweza kujaza form katika website na kuomba kujiunga na watakupatia mtu utakaye wasiliana naye.
Nini Kitafuata?

1.      Mipango itafanyika ya kukutana na wewe binafsi na kujadili kuhusu freemason
2.      Mwanachama au mwanakamati kutoka tawini ambaye huitwa Investigative Committee atawasiliana nawe na kuandaa mkutano, watajibu maswali yako yote uliyonayo na ikiwa utaridhika utaombwa kujaza form ya maombi
3.      Maombi yako yatapelekwa katika tawi na kupigiwa kura kama ilivyo kwa kila kitu katika maisha unapokuwa freemason utapokea kutoka kwa freemason kile utakachoweka kwayo.
4.      Kumbuka kuwa huwezi kujiunga na freemason kupitia mtandao wa Internet popote na pia kama ulivyosoma kujiunga na freemason inachukua Muda.
5.      Kumbuka kuna website nyingi zinazoandika kinyume na freemason lakini pia zipo ambazo zimeandika habari sahii kuhusu freemason na kadiri unavyojifunza kwa undani kuhusu freemason na nyendo zake uzushi kuhusu freemason utazidi kuwa mdogo na sio wenye kutisha.

HITIMISHO:
Hakuna sababu ya kuogopa chama hiki cha siri au chama hiki cheye usiri mkubwa kwa ujumla unaposaoma kwa undani sana utaweza kugundua kuwa kuna ukweli kwamba freemason wanajihusisha na maswala ya mungu mwenye utata hii sio njia sahii ya Mungu kujifunua kwetu Mungu aejifunua kwetu kupitia Neno lake yaani Biblia na kupitia mwana wake Yesu Kristo Biblia inasema hivi katika Waebrania 1.1-3 “Mungu ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi mwisho wa siku hizi amesema nasi katika MWANA aliyemuweka kuwa mrithi wa yote” Hakuna njia nyingine ambayo kwayo Mungu amejifnua kwetu isipokuwa kupitia Yesu Kristo kwani yeye ndiye njia na kweli na Uzima, Biblia nyingine iwayoyote haiwezi kamwe kuwa ufunuo mwingine kuhusu Mungu wa kweli, Haiwezekani hata kidogo tukawa na matakwa yanayofanana Huku Allah akiwa ameagiza maswala tofauti na YHWH Yaani Yehova, Quran ina maagizo tofautina Biblia je inawezekanaje watu wa imani hizi zilizohitalfiana sana tukawa na interest Moja naamini kwamba katika ukomavu naweza kuchukuliana na kila mtu hata magaidi nafahamu kuwa mafunzo ya Biblia yananitaka kuwavumilia maadui na hata kuwaombea lakini je maagizo ya Quran yanaweza kuwa hivo?, Biblia ndio kitabu pekee chenye ushuhuda wa kubadili maisha ya watu na tabia je Freemason inaweza kunifanya kuishi maisha ya adili? Au nitakuwa ninalazimika kwa sababu tu ya kupata misaada kutoka kwa watu wengine? Ni elimu gani nje ya Elimu zilizoko Duniani ambao Freemason wanatoa? Je elimu hiyo kwanini isipatikane kwenye tovuti? Kama mwanamason anaweza kusaidia jamii na kuufanya ulimwengu kuwa mahali pazuri pa kukaa je ni mangapi yanatokea duniani na je wamefanya nini katika kuufanya ulimwengu kuwa mahali pazuri je nzia zitumikazo katika kujipatia wingi wa fedha ni halali? Mtu awezaje kuwa muadilifu nje ya Msaafu halali wa neno la Mungu? Ndugu msomaji Freemason isikutishe wala tusiipe sifa kuu kwani Biblia inasema hakuna jina jingine tulilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo ispokuwa Jina la Yesu tu Yesu Kristo n Mkuu kuliko Freemason Mungu Baba Muumba wa bingu na nchi aliyejifunua kwa Ibrahimu Isaka na Yakobo na Musa Huyu ndiye Mungu wa Kweli tunayepashwa kumuabudu katika njia halali yaani neno lake na katika Roho na kweli na sio vinginevyo Ndugu msomaji chapa kazi kwa bidii Mungu atakufanikisha ni wale wanaopenda short kati ndio wanaojikuta wameingia pabaya hizi ni nyakati za mwisho jihadhari na maswala ya ajabu ajabu yanayoibuka pia magazeti acheni kukuza na watu acheni kutudanganya kuwa mlikuwa freemason mkatoka? Acheni kutukuza ushirikina mtukuzeni Bwana Enyi mataifa yote duniani wakati huu ambapo uvumi kuhusu freemason unachukua kasi ni rahisi waandishi kuacha makusudio ya kuielimisha jamii katika maadili mema kufanya kazi kwa bidii na kujisomea kwa bidii na kujikuta wakishughulika na maswala ambayo majibu yake ni tata au kuitishia jamii au kuionyesha kuwa umaarufu na utajiri unapatikana kwa kupitia njia za kishirikina kumbuka kuwa nchi za wenzetu kama china na Korea zimeendelea kupitia Elimu, kufanya kazi kwa Bidii na kupanuka kwa Ukristo haya ndio maswala ya msingi ya kuyaisistiza katika jamii badala ya kuendelea kuukuza ushirikina wa kisasa ni muhimu kauli ile kwa Mungu yote yawezekana ikawa ndio mkazo wa jamii katika kujituma na kumuabudu Mungu na kufanya kila jambo kwa bidii kumbuka hata hao wanafreemason hawahitaj mtu legelege asiye na maono maswala haya wote tunaweza kuwa nayo kupitia Mungu wa kweli na kufanya kazi kwa Bidii ndimi mjoli mwenzenu katika Bwana Rev, Innocent Kamote.
 

Maoni 20 :

Bila jina alisema ...

Kujiunga kubwa illuminate online leo na kufanya
ubinafsi wako matajiri na maarufu katika maisha unaweza email yetu
kupitia illuminatidevelchurch@gmail.com au kuongeza sisi
juu ya Whatsapp +2349051286560 au kuongeza yetu juu ya
Facebook kusubiri kwa majibu yako kwa haraka kama
inawezekana kuendelea juu yenu.

illuminat alisema ...

Wewe ni mfanyabiashara, mwanasiasa, muziki,
mwanafunzi na uhitaji
kuwa tajiri, nguvu, na maarufu katika Maisha
anahitaji nguvu
kufikia ndoto zao. Unaweza kufikia yao
ndoto na
mwanachama wa Illuminate. na kwamba wote yako
ndoto na
tamaa ya moyo ambayo inaweza kikamilifu mafanikio kama wewe
kweli unataka
kuwa mjumbe majina makubwa ya
Illuminate basi
Unaweza kufanya mawasiliano na (illumenatirichtemple@gmail.com)
Nchi ................. ............................. State.
au
kuwaita Miss sarah juu na unaweza pia kuongeza har juu ya Whatsapp +2348104857337 kuwashukuru

Unknown alisema ...

nahitaj

Unknown alisema ...

nahitaj

Unknown alisema ...

Mungu akubariki kwa huduma hii mimi ni mwalimua neno la Mungu ninapenda kujifunza habari hizi ili kupanua uelewa wangu katika eneo hili , tafadhari ninaomba unutumie somo hili zuri katika e mail eddowk2010@yahoo.com

Garrett Steve alisema ...

WELCOME TO THE GREAT TEMPLE OF ILLUMINATI WORLDRICHS. ARE YOU A POLITICIANS, DOCTOR, ENGINEER, MODEL, GRADUATE, STUDENT,
GOLDEN OPPORTUNITY The great illuminati organization will make you Rich, Powerful, famous and wealthy.You can achieve all your dreams and heart desire by being a member of the illuminati brotherhood, Long life and prosperity here on earth with eternal life and jubilation..if you really want to become a member of the great illuminati contact us today VIA: Joinilluminatiworld17@gmail.com or Whatsapp +233 541 724 513

HARRY alisema ...

Salamu kutoka kwa ndugu. Je, wewe ni mtu wa biashara, msanii wa Muziki, mchezaji wa soka au mfano unajaribu kuwa mkuu na maarufu katika maisha au kujaribu kupata utajiri wako na nafasi katika jamii na kupata pesa ndani ya siku tatu .Join Illuminati sasa ana Pesa, mamlaka, umaarufu, ulinzi, tiba ya ugonjwa wote na utajiri kuwa kichwa chako kwa siku tatu tu. Ikiwa una nia ya kujiunga na udugu wa illuminati na dada wasiliana nasi leo. Haijalishi wapi. Hakuna umbali unaweza kuathiri kazi ya baphomet Whatsapp +2347067805045 au Hangout / Barua pepe: rasmi.illuminati.reg@gmail.com na kusema ndiyo kwa ndoto zako. Saidi Lucifer.

illuminat alisema ...

Wewe ni mfanyabiashara, mwanasiasa, muziki,
mwanafunzi na anataka
kuwa tajiri, wenye nguvu, na maarufu katika Uzima
inahitaji nguvu
ili kufikia ndoto zao. Unaweza kufikia yao
ndoto na
mwanachama wa Mwangaza. na hiyo yote yako
ndoto na
tamaa ya moyo ambayo inaweza kufikia kikamilifu kama wewe
kweli unataka
kuwa mwanachama majina makuu ya
Mwangaza basi
wanaweza kuwasiliana na (illumenatirichtemple@gmail.com)
Nchi ................. ............................. Nchi.
au
piga simu miss sarah juu na unaweza pia kuongeza juu ya whatsapp +2348104857337 asante

illuminat alisema ...

Wewe ni mfanyabiashara, mwanasiasa, muziki,
mwanafunzi na anataka
kuwa tajiri, wenye nguvu, na maarufu katika Uzima
inahitaji nguvu
ili kufikia ndoto zao. Unaweza kufikia yao
ndoto na
mwanachama wa Mwangaza. na hiyo yote yako
ndoto na
tamaa ya moyo ambayo inaweza kufikia kikamilifu kama wewe
kweli unataka
kuwa mwanachama majina makuu ya
Mwangaza basi
wanaweza kuwasiliana na (illumenatirichtemple@gmail.com)
Nchi ................. ............................. Nchi.
au
piga simu miss sarah juu na unaweza pia kuongeza juu ya whatsapp +2348104857337 asante

Unknown alisema ...

Junior Platnumzy

Mm na msani

Adamsscott alisema ...

Jinsi ya kujiunga na udugu wa Illuminati666!!! Wasiliana na DAVID MARK au Whats'App (+2348140101327). Je, uko Ujerumani, Marekani, Ulaya au popote pale duniani unataka kuwa tajiri, maarufu, na kumiliki madaraka.. FAIDA WANAZOPEWA WANACHAMA WAPYA WANAOJIUNGA NA ILLUMINATI. 1. Zawadi ya Pesa yenye thamani ya $100,000, 00 USD baada ya kuanzishwa. 2. A New Sleek Dream CAR yenye thamani ya USD $100,000 USD 3.A Dream House iliyonunuliwa katika nchi uliyochagua 4. Likizo ya Mwezi Mmoja (imelipiwa kikamilifu) kwa kivutio chako cha utalii. 5.Kifurushi cha mwaka mmoja cha Uanachama wa Gofu 6.A V.I.P matibabu katika Viwanja vya Ndege vyote Duniani 7.Mabadiliko ya jumla ya Mtindo wa Maisha 8.Kufikia Bohemian Grove. 9. Malipo ya kila mwezi ya $300,000 USD kwenye akaunti yako ya benki kila mwezi kama mwanachama 10. Mwezi Mmoja umewekwa. miadi na Viongozi 5 Bora duniani na Watu 5 Maarufu Duniani wasiliana na DAVID MARK au kupitia Whats'App (+2348140101327) ukitaka. kujiunga.

Adamsscott alisema ...

JINSI UNDUGU WA ILLUMINATI UNANIFANYA TAJIRI NA MAARUFU. Mimi ni mshiriki wa udugu wa illuminati, nataka kumshukuru Bwana Lucifer, kwa kile alichonitendea, alibadilisha maisha yangu, analeta furaha na furaha katika maisha yangu, ninaishi maisha mazuri leo ni kwa sababu wa udugu wa illuminati, nimekuwa nikijaribu maisha yangu yote kujiunga na udugu wa illuminati, nilitapeliwa mara nyingi lakini bado sikati tamaa, kwa sababu unapokata tamaa maishani, maisha pia yatakata tamaa kwa mwanadamu, ikiwa utakata tamaa. wametapeliwa mara nyingi sana ushauri wangu kwako usikate tamaa maana undugu wa illuminati ni kweli, nilijiunga na illuminati halisi nikilipa 300usd tu, kujiunga na illuminati, nataka mjue leo, pesa ya kujiunga, ushauri wangu kwenu nyote fanyeni maamuzi na kujiunga na udugu wa illuminati, mchakato wangu wa unyago ulipokamilika kiasi cha mafao niliyopewa ni $1,000,000 ili kuanza maisha mapya, hii ndio sababu ya mimi kuweza. usiache kusifia udugu wa illuminati, ikiwa uko katika matatizo ya aina yoyote au wewe katika usaidizi wa maisha, ushauri wangu kwako ni kujiunga na udugu wa illuminati ili matatizo yako yote yaweze kutatuliwa maishani, ili ujiunge na udugu wa illuminati unaweza kuwasiliana na Mr David Mark au WhatsApp naye (+2348140101327)

Bila jina alisema ...

thanks

Bila jina alisema ...

Nataka kujiunga 0688773830

Bila jina alisema ...

Freemasonry ni chama chenye nguvu sana nakupenda sana na nakitkia kila la heri ili kiweze kuzidi kudumu zaidi freemasonry is the best in the world

Bila jina alisema ...

Mimi maoni yangu ni kwamba wazidi kukidumisha zaidi ili kupata ongezeko la wafuasi wengi zaidi

Bila jina alisema ...

Mimi natamani sana kama ningepata nafasi ya kujiunga uko ningefurahi sana

Bila jina alisema ...

Chama kipo Sawa namimi nataka ni ingiye katika chama

Unknown alisema ...

NAhitj kujiunga

Bila jina alisema ...

Naomba muniunganishe