Jumanne, 8 Machi 2016

Uhusiano wa Quran na Ugaidi !



UHUSIANO WA QURAN NA UGAIDI  
    Mara nyingi tumeona  katika television,kusikia katika maredio na kusoma katika magazeti na hata kuona matukio ya ugaidi yanayotajwa  katika vyombo mbalimbali vya habari,tumesikia habari za watu wanaovaa mabomu na kujilipua miongoni mwa watu na kuuwa watu wengi sana hata watoto wadogo, walengwa wengi wakiwa ni wayahudi au wakristo au watu na mataifa yanayofikiriwa kuwa ni makafiri Dunia imeshuhudia kulipuliwa kwa balozi za Marekani jijini Dar es salaam,Tanzania na Nairobi nchini Kenya na hoteli ya Paradise inayomlikiwa na wayahudi mjini Mombasa na tukio la kihistoria la kuuawa kwa watu wengi  baada ya ndege kutumiwa kama silaha huko Marekani mnamo 11 september 2001, na matukio mengine mengi Yesu kristo alitabiri katika (Yohana 16;1-3),Matukio haya yana uhusiano mkubwa na Mafundisho ya Quran na imani ya kiislamu hasa wale wanaoifuata qurani sawasawa(Surat at tawba 9;29)

     Mwanzoni Muhamad katika quran aliagiza mtu asilazimishwe kuingia katika Uislamu (surat al baqara 2;256)Lakini upinzani zaidi wa ujumbe wake ulipozidi pale makka na alipopata nguvu aliongeza chuki na uchungu na kuamuru yafuatayo(surat tawba “toba” 9;5,123,surat al maida “meza5;33).Muhamad amewafundisha Waislamu kuwachukia kabisa, wayahudi na wakristo na kutofanya urafiki nao (surat al maida 5;51) Aidha qurani inawataka waislamu wanapokuwa vitani kuwapiga makafiri shingoni ili wafe haraka kama unabisha soma (Muhamad 47;4-6)

   Tukio la ugaidi la September 11 2001,lililofanywa na kundi la al-qaeda la Osama bin Laden lilifanyika kutekeleza aya ya quran ya Surat at tawba 9;110-111 katika juzuu ya 11 na ndio maana liliungwa mkono na wanaharakati woote wa kiislamu kama nitakavyoonyesha tukio hili katika kielelezo ukurasa ujao, uislamu hauna huruma na mzaha na Dini nyingine wao ni jino kwa jino anakiri hivyo Farsiy katika kitabu maisha ya nabii Muhamad uk 48 sura ya 9 kifungu cha pili kutoka mwisho anasema nanukuu “…Kweli haiwezi kukatalika kuwa Uislamu haufuati kawaida “akikupiga shavu la kushoto mgeuzie la kulia” kwa mazungumzo hayo hapo juu sheikh amekanusha aliyokuwa akiyatetea juu kuwa uislamu haukuenezwa kwa upanga maana hapo anakiri na sheikh Baghoza katika kitabu chake JIHAD je inaendelea au imekufa anahamasisha Shehk huyu kurudi kwenye amri za allah yaani jihad kwani hii ni njia fupi ya kuingia peponi kwa waislamu ni kama nguzo ya sita katika uislamu



 Kulia kiongozi wa ugaidi Osama bin Laden na Mwana mapambano dhidi ya ugaidi raisi wa zamani wa Marekani George .W.Bush. Ugaidi asili yake ni Quran.

 Kielelezo namna tukio la ugaidi la September 9 mwaka 2001 September(mwezi wa 9) ni sura ya tisa at tawba Mwezi wa kumi na moja 11 ni juzuu  ya 11. Mwaka 2001 ni mjumuisho wa aya ya 110-111 na tukio lililoko hapo ni kuvunjwa kwa jengo.

Juzuu 11                                                                             at-tawba 9                                                                 yaatadhirun.
………………………………………………………………………………………….……………………………………………………………….Ayaya110-111 ……………………………………………………………………………………………………………………………………………………….………………………………………………………………………………………….………………………………………………………………………………………….………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
Kielelezo juu jinsi quran livyo katika muundo na mtazamo wa kigaidi wa tukio la September 11 2001

Ahadi za Malipo ya Ugaidi
   Kwa Mujibu wa qurani kuna thawabu kubwa sana mtu anapojihusisha na ugaidi (jihad)na ahadi hizi ndizo zinazo hamasisha sana waislamu kujituma katika kujilipua mabomu,njia nyingine ni ngumu mtu kuingia peponi hasa kwa sababu unaweza kukosa swala au kushindwa kufunga swaumu hivyo jihad ndio njia ya mkato ya kuingia peponi na yenye uhakika na ahadi kemkem toka kwa allah
  • Kufutiwa dhambi (surat as saff 61;9-12)kuua kwa ajili ya dini ya mwenyezi mungu au kuuawa ni biashara yenye faida.
  • Kulipwa mambo mazuri (surat saafat 37;40-49) kupewa wanawake wenye macho kama mayai ya Mbuni
  • Kupewa wanawake wazuri wenye macho kama vikombe(surat tur 52:19-20)
  • Kufanya ngono saa 24 soma (sunnan ibn majah vol 4 uk 540 khadhithi namba 2481)  …. “Dhakari hazitasinyaa watapewa wanawake 70 kila mmoja atakuwa bikira na wana makalio kama masanduku.
  • Kupigana jihadi ni kufuzu kuliko kukubwa (at tawba 9:111)
  • Mkimsaidia Allah nae atawasaidia (Muhamad 47;7)
  • Kuna daraja saba walizoandaliwa Mujahidini,pia ziko daraja mia moja “Pepo ina daraja miamoja ambazo allah amewaandalia wale wanaopigana kwa ajili yake…..”(vol 4-H;448) Abu Huraira.
  • Ahadi saba  za watakaojitoa Muhanga  ni pamoja na  1. Roho za waliokufa kwa kujitoa muhanga zimo ndani ya ndege wa kijani wanaoishi peponi2.Madhambi na makosa yao yoote yatafutwa 3.mujahidin anayo haki ya kuwaombea radhi kwa allah watu wake 70 4.Ataokoka na Mateso na usumbufu wa mauti 5. ataokoka na Vitisho vyoote vya siku ya kiama 6. Hataogopa kitu siku ya hesabu (hukumu) 7.Hatohisi machungu ya kifo illa ni kama mfinyo mdogo tu. Hizo ndio daraja walizopewa Mujahidin soma uk 11-12 wa kitabu JIHAD cha Abdullah said Baghoza.
  • Ni wazi kabisa Quran inafundisha na kukazia swala la kuua au kuawa kwa kujitoa muhanga kwaajili ya Mungu Allah au kwa ajili ya uislamu  kuwa ni swala muhimu na la lazima na kuwa lina thawabu kubwa sana kwa mola  ni muhimu msomaji wangu ukachukua mUda kutafakari kama Mungu alivyojifunua kupitia Kristo na mafundisho yake yaliyojaa upendo katika ulimwengu huu tulio nao je mafundisho ya namna hii yanaweza kukubalika ulimwenguni na sisi tukae kimya? Katika sura inayokuja tutawachambua kwa undani Osama kuwa ni nani na al-qaeda ni nani?:

Hakuna maoni: